JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Uko ndio usiseme mzeee nakutanaga nazo mara nyingi kwenye mahospitali ukiandikiwa dawa ndio vibebeo[emoji23][emoji23]Vp cv zetu huko kwenye makampuni.?
Daah ma@mae ipo siku tutakuta cv zetu kwa waganga wa kienyejiUko ndio usiseme mzeee nakutanaga nazo mara nyingi kwenye mahospitali ukiandikiwa dawa ndio vibebeo[emoji23][emoji23]
Kwa wauza chips ndio usiseme tuna bebea sana chips kuwapelekea wa tejaDaah ma@mae ipo siku tutakuta cv zetu kwa waganga wa kienyeji
πππ Unakuta jina lako limewekwa mayonizeKwa wauza chips ndio usiseme tuna bebea sana chips kuwapelekea wa teja
Hahah pale kwenye referres pamewekewa tomato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unakuta jina lako limewekwa mayonize
Mbona Zipo huwa wanazifungia dawaDaah ma@mae ipo siku tutakuta cv zetu kwa waganga wa kienyeji
Umetisha mkuu maana naisi lodge zote za hapa a.city wanamiliki anuani na fuull name.kuanzia sasa nitatumia id fake kama jf teteeeeeeNa Hata Tukienda Guest Kwa Registration Book?[emoji2][emoji2][emoji2]
We ndio umejua leo boss, mi nikiendaga Lodge naandika jina la mzee yoyote mtaani ambae mnokomnoko,aswa Hawa mabalozi wa CcmUmetisha mkuu maana naisi lodge zote za hapa a.city wanamiliki anuani na fuull name.kuanzia sasa nitatumia id fake kama jf teteeeeee
[emoji2][emoji2][emoji2]We ndio umejua leo boss, mi nikiendaga Lodge naandika jina la mzee yoyote mtaani ambae mnokomnoko,aswa Hawa mabalozi wa Ccm