Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda ukikaa sebureni kwako unaangalia sinema au kusoma hadithi zinakusaidia nini kijana wa kitanzania?.Upuuzi mwingine wa vilaza wa bongo,
Sasa haya majitu, yanasaidia nini,
Lishe, ajira, afya,sayansi, na tekinolojia,
Uchumi wa, nchi kukua, viwanda, au, nini?
Hiyo lazima nijaribu haitishi km mnavyoipamba, nataka nihakikishe km kweli.!!
Ila kuna no 10 umesema tusiziamini, kwahiyo ni waongo??
Mkuu hiki kitabu umemtajia cha zamani nadhani miaka ya themanini nilikiona yumkn uliyemtajia hakuwapo ulimwenguni miaka hiyoUnakifaham kitabu kinaitwa "MAHALI PASIPO NA DAKITARI"?
Kitanisaidiaje kuondokana na huu umasikini?
Nilikuwa nacho bahati mbaya nilisahau kwenye tax mwaka 2001 huko kanda ya ziwa.Mkuu hiki kitabu umemtajia cha zamani nadhani miaka ya themanini nilikiona yumkn uliyemtajia hakuwapo ulimwenguni miaka hiyo
H ishu naona imekaa kiimani zaidi kwahy upo sahihi kusema hvy, cha msingi n kuzingatia mambo yanayotakiwa ili awaone hao anaowahitajiUkiukosa nenda kachonge kwa Seremala andika tarakimu alphabet pentagram kama ilivyo.
Hii ndio point ya msingi, kama kinaondoa umasikini bc ht mm nakihitaji tofauti na hvy sitaki uchafu kwangu.Kitanisaidiaje kuondokana na huu umasikini?
Sasa babe, kama mende tuu unaogopa vp ukianza kuona vigagula mubashara?Hiyo lazima nijaribu haitishi km mnavyoipamba, nataka nihakikishe km kweli.!!
Ila kuna no 10 umesema tusiziamini, kwahiyo ni waongo??
Ili kikurambe vizuri, mara paaap umeshaita vibwengo kadhaa unakula nao story then unataka kumaliza mchezo kumbe funguo haifungi coz fundi selemara alikosea, hapo itakua kila unakoenda unatembea na vibwengo vyako tu hahahahaaa.Ukiukosa nenda kachonge kwa Seremala andika tarakimu alphabet pentagram kama ilivyo.
Ongezea nyama kidgo hapo.Unakifaham kitabu kinaitwa "MAHALI PASIPO NA DAKITARI"?
Nimekipata, Hiki hapa chini. Chafaaa sanaaaNilikuwa nacho bahati mbaya nilisahau kwenye tax mwaka 2001 huko kanda ya ziwa.
---
Kuhusu huyo dogo nimemuuliza ili nimpe majibu yatakayomsaidia na familia yake.
Mimi siogopi mende bana 😹😹😹Sasa babe, kama mende tuu unaogopa vp ukianza kuona vigagula mubashara?