Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
Sio kujifunza tu maandiko unaweza kufundishwa maandiko ata na shetaniWengi ni wajinga sana hawataki kujifunza maandiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kujifunza tu maandiko unaweza kufundishwa maandiko ata na shetaniWengi ni wajinga sana hawataki kujifunza maandiko
Ajali kazini na ntakuwa nimekufa na upakoUkiteleza umeondoka
Tuko hapa na hakuna tatizo kabisaAsante kwa Taarifa ., .Mkuu
Kesho chapu kwa haraka nitakuwepo hapo😃
Hakuna ajali hapa uwanja ni mpana sanaAjali kazini na ntakuwa nimekufa na upako
Tusitishane Mungu wetu ni mkuuAjali kazini na ntakuwa nimekufa na upako
Tusitishane Mungu wetu ni mkuuJamaa anataka kutoa tena,, hakuna cha bure kwa huyu
AmenThe Great MWAMPOSA
Man of God
You hate him... You hate God
Kila goti litapigwa
Tusitishane Mungu wetu ni mkuu,Endelea kupambana na shida zakoWengi ni wajinga sana hawataki kujifunza maandiko
Tusitishane Mungu wetu ni mkuu,Hakuna anayepigwaAcha watu wapige mbona wanasiasa wanapiga
Tusitishane Mungu wetu ni mkuuNenda akakutoe kafara.
Mimi ni mmoja waoMuujiza wa mwamposa ni mkali sana yaani mtu anaangalia tv kila kitu kinakaa sawa! Magonjwa yanatibika kwenye tv, mtu anapata mme kupitia tv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiiiiiii nina imani ndogo.
Huyu muumini wa mwamposa aliniambia alikuwa anasali kwenye tv akapata mme ni kweli amefunga ndoa ila mmmh!!!
Dear mtumishi wa Mungu mimi sikupingi mtumishi nakuomba tu toa siku moja fika muhimbili piga maombi ponyesha hata wale ambao hawawezi kusimama maisha yao yote.
Ukifanya hivyo hadhalani pesa raia watakuletea kwako mlangoni.
Mbona yesu aliponya watu live? Si ujaribu na wewe hata mara moja?
Sipingi watumishi wa Mungu lakini kwa nini hawajitolei kwenda mahospitalini wakatoa sadaka kuombea watu wapone?
Kabisa thus y tunafanya anacho tuamuruTusitishane Mungu wetu ni mkuu
Alishajipanga na upande wa watawala lolote litalotokea hakuna wa kumgusa. Mark this commentNimeona mabango na taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii na pia nimepita maeneo ya Kawe Tanganyika Packers na viunga vyake naona watu wameanza kumiminika ikiwa ni maandalizi kuelekea mkubwa mkesha mkubwa uliopewa jina la " 'MKESHA USIO SAHAULIKA' CHAKO NI CHAKO" ambapo unatarajia kufanyika kesho Julai 05/07/2024.
Kwa hali na mazingira yalivyo inaonesha kutakuwepo na kundi kubwa la Watu ambao wanatarajiwa kufika eneo hilo kutoka mikoa mbalimbali hata nje ya Nchi huku wengine wakiwa tayari wameanza kuwasili kwenye viwanja hivyo.
Ambapo nilipopita eneo hilo wengine nimeona wakiwa na Watoto wadogo jambo ambalo linanipa hofu hasa usalama wa watoto hao endapo watu watakuwa wengi zaidi.
Niliposikia kutakuwepo na zoezi la kukanyaga mafuta imenifanya kurejesha kumbukumbu zangu nyuma na kukumbuka tukio la mwaka 2020 watu wasiopungua 20 walidaiwa kufariki dunia kwenye viwanja vya Majengo Mjini Moshi wakati zoezi la kukanyaga 'Mafuta Upako' kwenye kongamano la Mtume Boniface Mwamposa.
Uenda ni mashaka yangu lakini natahadharisha umma ambao unapanga kwenda eneo hilo kuzingatia usalama binafsi ikizingatiwa mkesha huo unaanza majira ya saa mbili usiku hadi asubuhi saa 12 asubuhi.
Pia nitoe wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama kutia jicho la tatu kwenye mkesha huo na lolote hasi hasa linalohusu usalama wa raia ambalo likitokea wahusika wawe tayari kuwajibika au kuwajibisha watakaopelekea changamoto endapo ikijitokeza.
Muujiza wa mwamposa ni mkali sana yaani mtu anaangalia tv kila kitu kinakaa sawa! Magonjwa yanatibika kwenye tv, mtu anapata mme kupitia tv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aiiiiiii nina imani ndogo.
Huyu muumini wa mwamposa aliniambia alikuwa anasali kwenye tv akapata mme ni kweli amefunga ndoa ila mmmh!!!
Dear mtumishi wa Mungu mimi sikupingi mtumishi nakuomba tu toa siku moja fika muhimbili piga maombi ponyesha hata wale ambao hawawezi kusimama maisha yao yote.
Ukifanya hivyo hadhalani pesa raia watakuletea kwako mlangoni.
Mbona yesu aliponya watu live? Si ujaribu na wewe hata mara moja?
Sipingi watumishi wa Mungu lakini kwa nini hawajitolei kwenda mahospitalini wakatoa sadaka kuombea watu wapone?
Anawakamata wendawazimu na wavivu tu,mtu timamu anayemuamini Mungu na anaemini kufanikiwa kupitia nguvu na akili alizopewa na Mungu humkuti kwenye huo ujinga.Nyie Wagalatia ndomaana hata mtume paulo aliwamaindi cos hamna msimamo kabisa.......
Mwamposa fireeeeeee
Kama wanatoa kwa hiari yao hatupaswi kuwalaumuTusitishane Mungu wetu ni mkuu,Hakuna anayepigwa
Hakuna Mungu pale, ni upigaji tu.Tusitishane Mungu wetu ni mkuu