Tahadhari ichukuliwe Mkesha wa Mwamposa la sivyo ya Moshi yatajirudia

Mimi ni mmoja wao
 
Alishajipanga na upande wa watawala lolote litalotokea hakuna wa kumgusa. Mark this comment
 

Your browser is not able to display this video.
 
Hio ni spiritual mkuu. Kafara kama la moshi lazima liwepo. Ili aendelee kupanda RANK.
 
Nyie Wagalatia ndomaana hata mtume paulo aliwamaindi cos hamna msimamo kabisa.......
Mwamposa fireeeeeee
Anawakamata wendawazimu na wavivu tu,mtu timamu anayemuamini Mungu na anaemini kufanikiwa kupitia nguvu na akili alizopewa na Mungu humkuti kwenye huo ujinga.

Mind you,siyo Galatians tu wapo kwenye huo ujinga humo utakutana mpaka na waislam maskini ya Mungu hata hawajui wanataka nini zaidi ya kwenda kupigwa kwa maigizo fake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…