TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Kufanya kazi na mtu humu nafuata taratibu zipi nataka kufanya marekebisho ya site yangu
 
Jiheshimu! Kama yalishakukuta eleza.
Teh tehee teehee,watu wengine bhana,wagomvi sana,utatakaje mtu ajielezee wakati ana machungu?,jitambue aseh!! Katika ulimwengu huu wa teknolojia yoyote anaweza kuibiwa,nitashukuru sana, thread maalumu ikianzishwa humu kwa ajili ya hilo.
 
Teh tehee teehee,watu wengine bhana,wagomvi sana,utatakaje mtu ajielezee wakati ana machungu?,jitambue aseh!! Katika ulimwengu huu wa teknolojia yoyote anaweza kuibiwa,nitashukuru sana, thread maalumu ikianzishwa humu kwa ajili ya hilo.
ni ruksa pia kwa mwenye machungu kujielezea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…