DOKEZO TAHADHARI: Kuna watu wamepata madhara baada ya kula mboga za majani zilizonunuliwa stendi ya daladala Mbezi Luis

DOKEZO TAHADHARI: Kuna watu wamepata madhara baada ya kula mboga za majani zilizonunuliwa stendi ya daladala Mbezi Luis

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

sudirashid

New Member
Joined
Feb 21, 2025
Posts
2
Reaction score
5
Habari ya mchana

Nimeamua niwaandikie wenzangu kwa kifupi kuhusu madhara rafiki zangu waliyoyapata baada ya kununua mboga za majani pale stendi ya daladala Mbezi Luis.

Siku chache zilizopita rafiki zangu Hawa walinunua mchicha pale stendi ya mbezi Luis na kwenda kuupika na kula. Madhara waliyoyapata ni pamoja na kuchubuka ngozi, kushindwa kupumua vizuri, kuharisha damu, kutapika damu, vidonda vya Tumbo na kichwa kuuma sana muda wote. Hawa rafiki zangu walikwenda hospitali na kupima vipimo na kugundulika wamekula mboga zenye vimelea sumu. Pia Kuna taarifa mgonjwa mkaka amefariki kwa kula mboga hizi alizonunua mbezi yeye alikuwa akiishi kinyerezi.

Uchunguzi wa haraka niliofanya baada ya kuuliza ni wapi wamezipata zile mboga za majani wakasema wamezichukua zinapolimwa kibaha kwa Matias na chache picha ya ndege huko huko kibaha.

Naombeni kuwataadharisha kuhusu Kununua mboga za majani mbezi Luis zilizoagizwa kutoka zinapolimwa kibaha kwa Matias. Naomba uusambaze ujumbe huu kwa wapendwa wako utakuwa umeokoa maisha yao. Pia taarifa hizi nimezipeleka mamlaka husika

Asanteni
 
Habari ya mchana

Nimeamua niwaandikie wenzangu kwa kifupi kuhusu madhara rafiki zangu waliyoyapata baada ya kununua mboga za majani pale stendi ya daladala Mbezi Luis.

Siku chache zilizopita rafiki zangu Hawa walinunua mchicha pale stendi ya mbezi Luis na kwenda kuupika na kula. Madhara waliyoyapata ni pamoja na kuchubuka ngozi, kushindwa kupumua vizuri, kuharisha damu, kutapika damu, vidonda vya Tumbo na kichwa kuuma sana muda wote. Hawa rafiki zangu walikwenda hospitali na kupima vipimo na kugundulika wamekula mboga zenye vimelea sumu. Pia Kuna taarifa mgonjwa mkaka amefariki kwa kula mboga hizi alizonunua mbezi yeye alikuwa akiishi kinyerezi.

Uchunguzi wa haraka niliofanya baada ya kuuliza ni wapi wamezipata zile mboga za majani wakasema wamezichukua zinapolimwa kibaha kwa Matias na chache picha ya ndege huko huko kibaha.

Naombeni kuwataadharisha kuhusu Kununua mboga za majani mbezi Luis zilizoagizwa kutoka zinapolimwa kibaha kwa Matias. Naomba uusambaze ujumbe huu kwa wapendwa wako utakuwa umeokoa maisha yao. Pia taarifa hizi nimezipeleka mamlaka husika

Asanteni
Hatari sana.

Huenda mboga hizo zilichumwa zikiwa bado sumu za Viuatilifu zilizonyunyuziwa kwenye mimea zikiwa bado haijawa expired.
 
Una uhakika hadi unatangaza kuua soko la mboga la wenzako? Hao wafanya biashara wa mboga hizo ndio walaji namba moja, kwa nini wasidhurike?
 
Sio kwamba umetumwa kuua biashara za waskatonge wenzako ili uuze samaki na nyama?

Toa uthibitisho @Jamiichek
 
Hebu kula na wewe tuone kama utapata madhara
 
Mgonjwa mkaka ??kwanin usiseme mgonjwa wa kiume??wenye mamlaka yakutuita WANAUME washoka mkaka ni wanawake tu na katika nyakati tofauti mashoga nao hutuita hivyo ..bila shaka wew ni bwabwa ..adiosss!!!!!
 
Itakuwa walilchanganya vitu vyao tu

Mboga za majani ni kilimo cha wazi
 
Hatari sana.itabidi Kila mmoja alime mboga za majani kwenye kiwanja chake maana NEMC wamelala usingizi kuhusu kudhibiti kemikali zinazotiririshwa kwenye mikondo ya maji na kutumia kumwagiliwa na walima mbogamboga
 
Wanatumia dawa kupulizia hzo mboga yaani ndani ya mda mfupi wamesha zitoa shamban.. huku nilipo kuna bonde wanalima hzo mboga za majani wale maafisa afya waliwapiga marufuku.. kama mnahisi kuna mtu anamharibia mwenzake endeleen kuna hzo mboga mtapigwa na kansa...
 
Hatari sana.itabidi Kila mmoja alime mboga za majani kwenye kiwanja chake maana NEMC wamelala usingizi kuhusu kudhibiti kemikali zinazotiririshwa kwenye mikondo ya maji na kutumia kumwagiliwa na walima mbogamboga
 
Mi nshaweka tarifa. Maamuzi ni yenu. Mkipata kansa shauri yenu. Kwani siku hizi changamoto afya ya akili imeshamiri. Watu kutukana wenzao bila reason ni changamoto afya ya akili. Ndio matokeo ya kula ma kemikali. Maamuzi yenu wadau
 
Habari ya mchana

Nimeamua niwaandikie wenzangu kwa kifupi kuhusu madhara rafiki zangu waliyoyapata baada ya kununua mboga za majani pale stendi ya daladala Mbezi Luis.

Siku chache zilizopita rafiki zangu Hawa walinunua mchicha pale stendi ya mbezi Luis na kwenda kuupika na kula. Madhara waliyoyapata ni pamoja na kuchubuka ngozi, kushindwa kupumua vizuri, kuharisha damu, kutapika damu, vidonda vya Tumbo na kichwa kuuma sana muda wote. Hawa rafiki zangu walikwenda hospitali na kupima vipimo na kugundulika wamekula mboga zenye vimelea sumu. Pia Kuna taarifa mgonjwa mkaka amefariki kwa kula mboga hizi alizonunua mbezi yeye alikuwa akiishi kinyerezi.

Uchunguzi wa haraka niliofanya baada ya kuuliza ni wapi wamezipata zile mboga za majani wakasema wamezichukua zinapolimwa kibaha kwa Matias na chache picha ya ndege huko huko kibaha.

Naombeni kuwataadharisha kuhusu Kununua mboga za majani mbezi Luis zilizoagizwa kutoka zinapolimwa kibaha kwa Matias. Naomba uusambaze ujumbe huu kwa wapendwa wako utakuwa umeokoa maisha yao. Pia taarifa hizi nimezipeleka mamlaka husika

Asanteni
Uchumi wa hao watu Sasa,wanalimia Nini!?
 
Hizo mboga zinaathirika na moshi wa magari unapopuliza zinaingia kwenye mboga hizo
 
Hawa rafiki zangu walikwenda hospitali na kupima vipimo na kugundulika wamekula mboga zenye vimelea sumu. Pia Kuna taarifa mgonjwa mkaka amefariki kwa kula mboga hizi alizonunua mbezi yeye alikuwa akiishi kinyerezi.
Ipe shiriano mamlaka imtambue huyo marehemu
 
Habari ya mchana

Nimeamua niwaandikie wenzangu kwa kifupi kuhusu madhara rafiki zangu waliyoyapata baada ya kununua mboga za majani pale stendi ya daladala Mbezi Luis.

Siku chache zilizopita rafiki zangu Hawa walinunua mchicha pale stendi ya mbezi Luis na kwenda kuupika na kula. Madhara waliyoyapata ni pamoja na kuchubuka ngozi, kushindwa kupumua vizuri, kuharisha damu, kutapika damu, vidonda vya Tumbo na kichwa kuuma sana muda wote. Hawa rafiki zangu walikwenda hospitali na kupima vipimo na kugundulika wamekula mboga zenye vimelea sumu. Pia Kuna taarifa mgonjwa mkaka amefariki kwa kula mboga hizi alizonunua mbezi yeye alikuwa akiishi kinyerezi.

Uchunguzi wa haraka niliofanya baada ya kuuliza ni wapi wamezipata zile mboga za majani wakasema wamezichukua zinapolimwa kibaha kwa Matias na chache picha ya ndege huko huko kibaha.

Naombeni kuwataadharisha kuhusu Kununua mboga za majani mbezi Luis zilizoagizwa kutoka zinapolimwa kibaha kwa Matias. Naomba uusambaze ujumbe huu kwa wapendwa wako utakuwa umeokoa maisha yao. Pia taarifa hizi nimezipeleka mamlaka husika

Asanteni
Hatari sana
 
Back
Top Bottom