DOKEZO TAHADHARI: Kuna watu wamepata madhara baada ya kula mboga za majani zilizonunuliwa stendi ya daladala Mbezi Luis

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pale Luis tunatambuaje mboga zanazotoka Kibaha kwa Mathias na za kwingineko? Anyways Mamlaka zipo wakachukue sample wakapime.Ni vipi umehitimisha kama vile umeshapata majibu rasmi kuwa tatizo linasababishwa na mboga na tena zinazolimwa Kibaha?.
 
Magonjwa yote hayo? Mpaka vidonda vya tumbo siku hiyo hiyo? We una lako jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…