Natoa ushauri kwa maafisa wanaozunguka na fomu kuwa waache mara moja, nadhani wamefanya taathimini na kuona hali halisi nawashauri kwa kesho wasifanye hivyo tena vinginevyo wasije kutuona wabaya kwani uoga wa walimu haupo tena. Unawaambiaje walimu wajaze fomu wanaogoma wakati wamepita na kuona hawapo kazini wajaze wenyewe kuwa wlimu hawapo kazini. wanawapa wakati mgumu walimu wakuu walioamua kujitolea kukaa shuleni.
Halafu wakumbuke kuwa na wao ni walimu wasijione kuwepo ofisi za elimu wao nao ni miungu. Kama vipi wagawane waende kufundisha. Wakiendelea na vitisho hivyo na sisi tuunde jeshi la kuwasaka maana sisi tunajua kona zipi za kuwavizia ili kuwaonyesha kuwa tumechoka na unyanyasaji. Leo wamejionea kuwa wao si tishio tena kwa walimu.
Kama ni hivyo waache mara moja kututisha tumegooooooooooooooooooooooooooma!!!!!!!
Halafu wakumbuke kuwa na wao ni walimu wasijione kuwepo ofisi za elimu wao nao ni miungu. Kama vipi wagawane waende kufundisha. Wakiendelea na vitisho hivyo na sisi tuunde jeshi la kuwasaka maana sisi tunajua kona zipi za kuwavizia ili kuwaonyesha kuwa tumechoka na unyanyasaji. Leo wamejionea kuwa wao si tishio tena kwa walimu.
Kama ni hivyo waache mara moja kututisha tumegooooooooooooooooooooooooooma!!!!!!!