Tahadhari kwa madereva hasa mnaoendesha usiku

Hahaahha POLISI wetu nawapenda bure...
 
Asante kwa taarifa hii maana kila siku wezi na mbinu mpya,mungu akubaliki sana
 
Wamiliki wa magari wanapitia kipindi kigumu sana katika nyakati hizi.....watu wengi bado wanajua kuwa mtu anayemiliki gari ni mtu hela nyingi sana....wakati kumbe ni mambo ya kawaida tu....hata wakivamia huwa hakuna cha maana wanachokikuta simu na sigara....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…