Tahadhari kwa MC's wa maharusi bongo

Tahadhari kwa MC's wa maharusi bongo

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Imezuka na kukomaa tabia za washereheshaji kurekodi watu wanaofurahi kwenye sherehe walizokodiwa na kurusha kwenye page zao mitandaoni bila ruksa za wahusika.

Maharusi wanaweza kutoa kibali cha kurusha matukio yao lakini hakuna ruhusa ya kumrekodi mtu specifically na kumrusha mitandaoni. Hasa mnapenda kurekodi matukio ya kipekee kupata comments nyingi.

Unakuta mfano mbibi/mbabu wa watu amefurahi siku ya mjukuu wake anarekodiwa na kurushwa kwenye social media bila kibali chake huku akipata kejeli za kila aina!

Tahadhari, ipo siku inakuja mtaanza kushtakiwa kwa kurusha matukio ya watu bila ruksa zao. Mnafanya watu waogope kufurahi kwa uhuru kwa kuogopa camera zenu na siku inayofata kuzunguka mitandaoni.

Sheria hizi hizi zitatumika kuwaumiza msipokuwa makini na urushaji ovyo wa matukio ya harusi.

Msiseme hamkujua!
 
Hii tabia hata mimi inanikera sana. Mtu unakuwa umekunywa zako pombe za kutosha unaenjoi mziki unakata zako mauno halafu kesho yake unajikuta umewekwa insta ya akina Dr Cheni, Luvanda etc. Huu sio uungwana
Tulikuwa kwenye tukio last week wadau wengi wanaogopa hata kwenda kucheza na maharusi kukwepa camera za hawa MCs zetu! Wanashindana kurusha matukio ili kupata comments na kuongeza umaarufu!
 
Nanyie mnafakamia bia za bure kwenye sherehe mnafanya vituko vya kijinga mtaachwa kurekodiwa mbandikwe mitandaoni muonwe...? Halafu mnacheza kama malaya na mnasogelea camera ili mchukuliwe vizuri mkianza kukosa wanaume wa kuwaoa kwa sababu ya matukio yenu ya kipuuzi mnakuja kutafuta mchawi humu 😂 Mtu hata ufurahi kiasi gani huwezi kufanya vituko vya kipumbavu katika sherehe... Wengi wenu ni malaya mnajiuza ktk masherehe...
 
Tulikuwa kwenye tukio last week wadau wengi wanaogopa hata kwenda kucheza na maharusi kukwepa camera za hawa MCs zetu! Wanashindana kurusha matukio ili kupata comments na kuongeza umaarufu!
Sio kucheza tu. Watu wanaogopa kuongea, kutoa zawadi, hata kula chakula. Yaani unajikuta video yako inatrend uko unafakamia paja la kuku,au unatrend unabambia msambwanda. Yaani sio vizuri.
 
Umekamatia eeenhe
Watu wanahoji kumbe ndio michezo yako?
😂
Unajua katika kubambia sio marazote ni mwanaume unataka. Kuna wadada unashangaa mko kwenye foleni ya kupeleka zawadi au kucheza mziki GHAFLA Msambwanda huu hapa, ukitaka kupiga chenga kwenda kushoto, zigo linaenda kushoto, ukipiga chenga kulia, zigo linaenda kulia. Nyuma huwezi kurudi nyuma! Wakati upo unashangaashangaa zigo kumbe upo unarekodiwa. Kesho asubuhi unakuta umepostiwa mitandaoni unabambia msambwanda 😂😂
 
Unajua katika kubambia sio marazote ni mwanaume unataka. Kuna wadada unashangaa mko kwenye foleni ya kupeleka zawadi au kucheza mziki GHAFLA Msambwanda huu hapa, ukitaka kupiga chenga kwenda kushoto, zigo linaenda kushoto, ukipiga chenga kulia, zigo linaenda kulia. Nyuma huwezi kurudi nyuma! Wakati upo unashangaashangaa zigo kumbe upo unarekodiwa. Kesho asubuhi unakuta umepostiwa mitandaoni unabambia msambwanda 😂😂
Sio poa mkuu unajikuta umewekwa mtu kati bila kujua yaan ukija shtuka camera zimesharecord
😂
 
Sio poa mkuu unajikuta umewekwa mtu kati bila kujua yaan ukija shtuka camera zimesharecord
😂
Halafu hao wadada/wamama wenye msambwanda/matako/makalio wanafanya makusudi anatembea taratibu huku anakata kiuno taratibu makusudi. Halafu kwa nyuma anakuwa na shoga yake amekutaiti yani unajikuta umewekwa mtu kati. Wakati upo unashangaashangaa ili mmkatoe zawadi au mcheze fastafasta unakuta usharekodiwa na kupostiwa. 😂😂. Yaani unakuwa huna raha.
 
Halafu hao wadada/wamama wenye msambwanda/matako/makalio wanafanya makusudi anatembea taratibu huku anakata kiuno taratibu makusudi. Halafu kwa nyuma anakuwa na shoga yake amekutaiti yani unajikuta umewekwa mtu kati. Wakati upo unashangaashangaa ili mmkatoe zawadi au mcheze fastafasta unakuta usharekodiwa na kupostiwa. 😂😂. Yaani unakuwa huna raha.
Ndio hivyo mkuu ila hizi sherehe hizi watu wanaonekaga vituko aiseee sio kabisa kuna siku camera zitavunjwa ukumbini
😂
 
Back
Top Bottom