Tahadhari Kwa Mtumishi wa Mungu B. Mwamposa

Tahadhari Kwa Mtumishi wa Mungu B. Mwamposa

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
331
Reaction score
416
Sina tatizo na siasa za nchi hii. Mimi kwangu ni sawa tu CCM wakiendelea kutawala hii nchi au CHADEMA wakapokea kijiti Sina Cha kupoteza. Ninachotaka ni maendeleo. Kwa mfano Mbeya watakuwa wendawazimu wakampa jimbo mtu mwingine yeyote wakamtema Tulia Akson Mwansasu bila kujali maendeleo makubwa yanayoendelea Mbeya chini ya uongozi wa Dr. Tulia. Yaani Tulia hata akigombea kupitia CHAUMA Mbeya atachaguliwa tu.

Nirudi kwenye hoja yangu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, anaaminika Kwa upako wa Hali ya juu sana. Mimi siyo mfuasi wa Mwamposa lakini namkubali, namwamini namsikiliza, namwelewa na namfuatilia Kila siku katika mahubiri, mwenendo au maneno yake.
Sijaona tatizo la Mtumishi huyu kwamba anachanganya dini na siasa lakini kitendo Cha yeye kujichanganya na watu kama STEVE NYERERE kwenye mambo ya CCM, Uchawa, kupigia kampeni wanasiasa Mimi nakereka sana. Kwanza hao watu siyo level yake hata kidogo. Wanataka kutumia NYOTA ya Mwamposa na kuharibu utumishi wake. Hata mambo ya akina Makonda siyo level yake. Angalau level yake ni waziri Mkuu, makamu wa Rais, Rais panapokuwa maslahi ya Taifa Kwa ujumla.
Nje na kuhubiri injili Mwamposa ni mtu wa kawaida kanisa. Wanasiasa wanatumia mbinu yoyote Ili mradi wawe madarakani
Ningemshauri mtumishi afanye kazi ya injili.
2 Timotheo 4:5
[5]Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
But watch thou in all things, endure afflictions, do the work of an evangelist, make full proof of thy ministry.
 
Sina tatizo na siasa za nchi hii. Mimi kwangu ni sawa tu CCM wakiendelea kutawala hii nchi au CHADEMA wakapokea kijiti Sina Cha kupoteza. Ninachotaka ni maendeleo. Kwa mfano Mbeya watakuwa wendawazimu wakampa jimbo mtu mwingine yeyote wakamtema Tulia Akson Mwansasu bila kujali maendeleo makubwa yanayoendelea Mbeya chini ya uongozi wa Dr. Tulia. Yaani Tulia hata akigombea kupitia CHAUMA Mbeya atachaguliwa tu.

Nirudi kwenye hoja yangu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, anaaminika Kwa upako wa Hali ya juu sana. Mimi siyo mfuasi wa Mwamposa lakini namkubali, namwamini namsikiliza, namwelewa na namfuatilia Kila siku katika mahubiri, mwenendo au maneno yake.
Sijaona tatizo la Mtumishi huyu kwamba anachanganya dini na siasa lakini kitendo Cha yeye kujichanganya na watu kama STEVE NYERERE kwenye mambo ya CCM, Uchawa, kupigia kampeni wanasiasa Mimi nakereka sana. Kwanza hao watu siyo level yake hata kidogo. Wanataka kutumia NYOTA ya Mwamposa na kuharibu utumishi wake. Hata mambo ya akina Makonda siyo level yake. Angalau level yake ni waziri Mkuu, makamu wa Rais, Rais panapokuwa maslahi ya Taifa Kwa ujumla.
Nje na kuhubiri injili Mwamposa ni mtu wa kawaida kanisa. Wanasiasa wanatumia mbinu yoyote Ili mradi wawe madarakani
Ningemshauri mtumishi afanye kazi ya injili.
2 Timotheo 4:5
[5]Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
But watch thou in all things, endure afflictions, do the work of an evangelist, make full proof of thy ministry.
Mwamposa mapungufu yake makubwa ni kuiabudu CCM sawa na anavyomuabudu Mungu, mbona kuna watumishi wa Mungu hawajihusishi na siasa na wanafanikiwa?
 
Sina tatizo na siasa za nchi hii. Mimi kwangu ni sawa tu CCM wakiendelea kutawala hii nchi au CHADEMA wakapokea kijiti Sina Cha kupoteza. Ninachotaka ni maendeleo. Kwa mfano Mbeya watakuwa wendawazimu wakampa jimbo mtu mwingine yeyote wakamtema Tulia Akson Mwansasu bila kujali maendeleo makubwa yanayoendelea Mbeya chini ya uongozi wa Dr. Tulia. Yaani Tulia hata akigombea kupitia CHAUMA Mbeya atachaguliwa tu.

Nirudi kwenye hoja yangu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, anaaminika Kwa upako wa Hali ya juu sana. Mimi siyo mfuasi wa Mwamposa lakini namkubali, namwamini namsikiliza, namwelewa na namfuatilia Kila siku katika mahubiri, mwenendo au maneno yake.
Sijaona tatizo la Mtumishi huyu kwamba anachanganya dini na siasa lakini kitendo Cha yeye kujichanganya na watu kama STEVE NYERERE kwenye mambo ya CCM, Uchawa, kupigia kampeni wanasiasa Mimi nakereka sana. Kwanza hao watu siyo level yake hata kidogo. Wanataka kutumia NYOTA ya Mwamposa na kuharibu utumishi wake. Hata mambo ya akina Makonda siyo level yake. Angalau level yake ni waziri Mkuu, makamu wa Rais, Rais panapokuwa maslahi ya Taifa Kwa ujumla.
Nje na kuhubiri injili Mwamposa ni mtu wa kawaida kanisa. Wanasiasa wanatumia mbinu yoyote Ili mradi wawe madarakani
Ningemshauri mtumishi afanye kazi ya injili.
2 Timotheo 4:5
[5]Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
But watch thou in all things, endure afflictions, do the work of an evangelist, make full proof of thy ministry.
kwamba mwamposa ni mtumishi wa mungu yupi? fafanua kwanza, duniani kuna miungu wengi.
 
Mwamposa mapungufu yake makubwa ni kuiabudu CCM sawa na anavyomuabudu Mungu, mbona kuna watumishi wa Mungu hawajihusishi na siasa na wanafanikiwa?
Huwezi kuutenga utumishi wa Mungu na mnaxhikiita siasa Kwa kuwa siasa ni MAISHA ya watu.

Mwamakula, JG, ni watumishi wa Mungu wanaoitaka HAKI ya Mungu kuonekana katika viongozi wa kisiasa wanaotumika ktk siasa. Yeye Si wa kwanza, Nabii Samweli , Elia , Yohana mbatizaji walikemea watawala kuacha udhalimu hawakuwa chawa!

Shida ya buldoza ni kuvaa mavazi ya utumishi ilhali Si Mtumishi wa Mungu Bali mtumishi wa makorokoro na utapeli.
 
Huwezi kuutenga utumishi wa Mungu na mnaxhikiita siasa Kwa kuwa siasa ni MAISHA ya watu.

Mwamakula, JG, ni watumishi wa Mungu wanaoitaka HAKI ya Mungu kuonekana katika viongozi wa kisiasa wanaotumika ktk siasa. Yeye Si wa kwanza, Nabii Samweli , Elia , Yohana mbatizaji walikemea watawala kuacha udhalimu hawakuwa chawa!

Shida ya buldoza ni kuvaa mavazi ya utumishi ilhali Si Mtumishi wa Mungu Bali mtumishi wa makorokoro na utapeli.
Kuitumikia ccm ni sawa na kumtumikia Shetani, ajiondoe huko
 
Ila masuala ya kuamini vitabu vilivyo kuja na mitumbwi ni kazi Sana.

.hapo muislamu hajaja na maandiko yake.
.Muhindu nae
. Watu wa Buddha nao.

ila sisi afrika Ina tutesa Sana, tume ikomalia mnooo.
wakati roho mbaya, chuki, mauaji, wizi, ndio sera zetu.
hivyo vitabu ndyo madesa yao, yote ni magumu hayaeleweki, ndyo kuna watu wanjifanya wataalamu wa kuyadadavua for us laymen (Rev, Bishop, Mtume, Prophet e.tc), dini imeshakuwa commercialized for profit
 
Kwani huyo Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, au ni mjasiriamali!! Na kama yeye naye ni mtumishi wa Mungu, na Mwalimu Christopher Mwakasege atakuwa ni nani?
 
Sina tatizo na siasa za nchi hii. Mimi kwangu ni sawa tu CCM wakiendelea kutawala hii nchi au CHADEMA wakapokea kijiti Sina Cha kupoteza. Ninachotaka ni maendeleo. Kwa mfano Mbeya watakuwa wendawazimu wakampa jimbo mtu mwingine yeyote wakamtema Tulia Akson Mwansasu bila kujali maendeleo makubwa yanayoendelea Mbeya chini ya uongozi wa Dr. Tulia. Yaani Tulia hata akigombea kupitia CHAUMA Mbeya atachaguliwa tu.

Nirudi kwenye hoja yangu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, anaaminika Kwa upako wa Hali ya juu sana. Mimi siyo mfuasi wa Mwamposa lakini namkubali, namwamini namsikiliza, namwelewa na namfuatilia Kila siku katika mahubiri, mwenendo au maneno yake.
Sijaona tatizo la Mtumishi huyu kwamba anachanganya dini na siasa lakini kitendo Cha yeye kujichanganya na watu kama STEVE NYERERE kwenye mambo ya CCM, Uchawa, kupigia kampeni wanasiasa Mimi nakereka sana. Kwanza hao watu siyo level yake hata kidogo. Wanataka kutumia NYOTA ya Mwamposa na kuharibu utumishi wake. Hata mambo ya akina Makonda siyo level yake. Angalau level yake ni waziri Mkuu, makamu wa Rais, Rais panapokuwa maslahi ya Taifa Kwa ujumla.
Nje na kuhubiri injili Mwamposa ni mtu wa kawaida kanisa. Wanasiasa wanatumia mbinu yoyote Ili mradi wawe madarakani
Ningemshauri mtumishi afanye kazi ya injili.
2 Timotheo 4:5
[5]Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
But watch thou in all things, endure afflictions, do the work of an evangelist, make full proof of thy ministry.
huyo mposa ni mtumishi wa mungu yupi. maana miungu Iko mingi
 
Sina tatizo na siasa za nchi hii. Mimi kwangu ni sawa tu CCM wakiendelea kutawala hii nchi au CHADEMA wakapokea kijiti Sina Cha kupoteza. Ninachotaka ni maendeleo. Kwa mfano Mbeya watakuwa wendawazimu wakampa jimbo mtu mwingine yeyote wakamtema Tulia Akson Mwansasu bila kujali maendeleo makubwa yanayoendelea Mbeya chini ya uongozi wa Dr. Tulia. Yaani Tulia hata akigombea kupitia CHAUMA Mbeya atachaguliwa tu.

Nirudi kwenye hoja yangu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, anaaminika Kwa upako wa Hali ya juu sana. Mimi siyo mfuasi wa Mwamposa lakini namkubali, namwamini namsikiliza, namwelewa na namfuatilia Kila siku katika mahubiri, mwenendo au maneno yake.
Sijaona tatizo la Mtumishi huyu kwamba anachanganya dini na siasa lakini kitendo Cha yeye kujichanganya na watu kama STEVE NYERERE kwenye mambo ya CCM, Uchawa, kupigia kampeni wanasiasa Mimi nakereka sana. Kwanza hao watu siyo level yake hata kidogo. Wanataka kutumia NYOTA ya Mwamposa na kuharibu utumishi wake. Hata mambo ya akina Makonda siyo level yake. Angalau level yake ni waziri Mkuu, makamu wa Rais, Rais panapokuwa maslahi ya Taifa Kwa ujumla.
Nje na kuhubiri injili Mwamposa ni mtu wa kawaida kanisa. Wanasiasa wanatumia mbinu yoyote Ili mradi wawe madarakani
Ningemshauri mtumishi afanye kazi ya injili.
2 Timotheo 4:5
[5]Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako.
But watch thou in all things, endure afflictions, do the work of an evangelist, make full proof of thy ministry.
Unaamini mtu au dini? Mimi naamini kuna Mungu yaani kuna chanzo. Na kweli mafundisho ya Yesu ni ya Hali ya juu sana, nilibatizwa kwa ukatoliki. Catholics wako na elimu kubwa sana. Huwezi kuwa padre kama huna elimu, kama hujui physics, mathematics na chemistry/ biology. Juu zaidi lazima uende chuoni ndiyo maana naamini. Sasa mtu darasa la saba yupo na intuition na anasema kama wewe unavyopenda, hakuna critical thinking unaamini? I am stupid
 
Back
Top Bottom