Tahadhari kwa Waislam waliofunga

Tahadhari kwa Waislam waliofunga

Dokta Adeeb wa Hospitali ya Karachi, ambaye ni mtaalamu wa figo, ametoa tamko kwa kila mtu kutokunywa vinywaji vya baridi kama Pepsi, Cocacola,7up na nyinginezo wakati wa kufungua SWAUMU kutokana na kwamba kufunga kwa muda mrefu kunasababisha kukauka maji kwenye figo.

Hivyo kunywa vinywaji vya baridi na vyenye kemikali vinasababisha matatizo ya figo. Kwahiyo usinywe kinywaji chochote cha baridi wakati wa kufungua. Tumia maji au fresh juice.

Tafadhali sambaza ujumbe huu kwa ndugu, jamaa na marafiki.

Ili mada yako tuiamini itakubidi utuwekee link, otherwise ni porojo. kwa sababu hakuna uwezekano wa kimiminika kupita mdomoni, koromero, tumbo, utumbo, kwenye ini na damu vikiwa na hali joto ileile!
 
Alisema hivyo kutokana na mazingira yake zilikua nyingi na ndipo zilimwapo sanaa,sasa cha ajabu umkaririshe mtanzania eti afungulie tende ,tumia vinavyokuzunguka cha msingi zingatia afya ya mwili

mtume wetu ni khuswatul khasana na hasemi kama yeye muhammad s.w bali niujumbe wenyemazingatio kwetu toka kwa ALLAH SUBHANNA WATAALA so kma kungekuwa hkuna faida yakufuria tende kma kifunguzi naftari mana futari nihicho chakwanza kuliwa asingeliitaja hiyo tende madhali kaitaja basi kunafaida nawaulize wataalam watkwambia and then kwetu nisunnah kama waislam.We kma simwislam mambo ya ngoswe mwachie ngoswe yeye ndo katuambia tfunge na sisi tnamfata yy mjumbewa mw.mungu si akili zako za memkwa unaefikiria kutumia tumbo badala yaubongo
 
Back
Top Bottom