Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
vijana mnaokuja moshi kuweni makini sana kwani mji huu kuna vibaka wengi sana ,ukija moshi usipende kutembea usiku peke yako unaweza ukakabwa,mimi mwenyewe nimewahi kukabwa marambili na wahuni nikanyan,ganywa pesa na simu ni ushauri tu wakuu