MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Take note tumeangalia one side of the coin.... Nakuachia akina Nyumba Kubwa, Nemo na Mwanajamii1 they do have a point.
Mtambuzi
I had a lot to say about your type of reasoning how stup** it sounds and so forth but nikaona..................anyways let me ask you this, Je In the same token, si wamama tunapowanyima watoto wetu, wa kike kwenda kutoa ashiki zao should u as baba mwenye nyumba take care of that as well?? Acheni excuses zenu za kipumbavu!!!!Men sleeping with the help has got nothing to do with the wife but your own tamaa!!!!
kina dada, solution ni kuajiri watu wazima tu sasa..
inaelekea vibinti vinawatia majaribuni waume zenu, khaaa!
AshaDii, you are very right kuwa sometimes tunajisahau wanawake mf.
- Tunapowaachia hawa mabinti wetu mpaka kukutandikia kitanda, kukufulia nguo za ndani, mashuka mpaka kile kitambaa cha dhahabu! Unajua kama ni binti mwenye matamanio anawezafanya lolote kwa nguo hizo za ndani (Kwa wale wanaoamini mambo haya)
Kujisahau hata kuwa na muda wa 'faragha' na mwandani wako n.k
But bado haimpi Baba justification ya kutembea na binti!!
Dah Mtambuzi Baba karibu tena. Naona umepona Baba tunamshukuru MUNGU kwa hilo.
Hii mada yako ya leo ....................Dah!
Hapo kwenye red: Unataka kunambia mwanaume anaoa kwa kuwa anataka mtu wa kuwajibika? Kumpikia, kumfulia n'k? Kama ni hivyo am sorry naombeni niprolong likizo yangu tafadhalini!!
Mtambuzi eti tuwajibike kwa kufanya kazi kwa kuwa mwanaume anaangalia nani anayefanya kazi kuliko mwingine ndani ya nyumba????!! Oh Puleeeez Mtambuzi Give me a break eh!!
Hapo kwenye Blue hebu nifafanulie Mdada wa Kazi anam-care na kum-handle vipi Mbu wangu??
AshaDii, you are very right kuwa sometimes tunajisahau wanawake mf.
- Tunapowaachia hawa mabinti wetu mpaka kukutandikia kitanda, kukufulia nguo za ndani, mashuka mpaka kile kitambaa cha dhahabu! Unajua kama ni binti mwenye matamanio anawezafanya lolote kwa nguo hizo za ndani (Kwa wale wanaoamini mambo haya)
Kujisahau hata kuwa na muda wa 'faragha' na mwandani wako n.k
But bado haimpi Baba justification ya kutembea na binti!!
House girl? To be honestly kwangu ni ngumu sana ladba sijui ajipambe vipi Kumzidi Mke wangu but House Girl and My Wife ni Viwango viwili tofauti kabisa
we nawe.......... saa nyingine wajitia hamnazo kweli................ AshaDii kanisaidia kujibu kwa ufasaha kabisa................
House girl? To be honestly kwangu ni ngumu sana ladba sijui ajipambe vipi Kumzidi Mke wangu but House Girl and My Wife ni Viwango viwili tofauti kabisa
Bora useme wewe mwanaume labda wenzio watakuelewa.
Ubarikiwe dada yangu..... lakini kumbuka kwamba kila akili na tafsiri yake........... tatizo ni kwamba tunajitahidi sana kupingana na ukweli.......... hata hivyo yawezekana wewe bado una ka-ugeni hapa jf, kwa taarifa yako jambo hili limeshajadiliwa sana humu, mimi sio mtu wa kwanza. tatizo hili lipo sana tu na`hata wale tunaowaita watumishi wa mungu wamewahi kukumbwa na hicho wanachoita shetani na hadi kufikia kuwamimbisha hao ma house girl............
shukuru mungu kama unaye mume mwenye utambuzi kama mimi..........................
Mbu believe me sweetheart..hata hawa hawatopona kamwe................as long as they have that door! na kwa maelezo ya Mtambuzi ..............akifanya kazi zaidi yangu mke!!
kina dada, solution ni kuajiri watu wazima tu sasa..
inaelekea vibinti vinawatia majaribuni waume zenu, khaaa!
Nakubaliana nawe AshaDii but nataka nikuelewe vema, so hapa Baba anaamua kulala na Binti huyu kwa kuwa tu anafuliwa, anapikiwa na kupigiwa pasi au?? Maana kwangu mie ninaidefine hii kama tamaa, lust which should be condemned!Mwanaume kama mumeo hana jusification yoyote ka kulala na mwanamke mwingine period!!! HAKUNA. Na wanaume wametofautiana in reactions towards binti wa kazi, kuna mwanamke mwingine waweza jiachia mpaka basi, yaaani house gal hadi anagusa chupi za mumeo na bado asi-thubutu kulala nae. However inabidi tukubali kua what makes people kulalana sometimes ni mazoea dhidi ya wahusika, kama matunzo ya mume (ambayo ni basic na home related) yanakamilishwa na binti labda kwa 80% na wewe mwana mama ambae ndo mke kwa lets say 20% possibility ya mwanaume kutembea na huyo biniti ni kubwa.
Kama nilivosema post ya kwanza mwanamke anaweza akawa amechangia saana tu, lakini sio lazima kua yeye ndiio anakua amesababisha, lah hasha.
"labda?".... dahhh! macho yakiona moyo utatamani ee?
mimi nadhani tatizo sio housegirl, tatizo ni cheating....!
it's all about opportunity, kama mbuzi alavyo kwa urefu wa kamba yake.
mwanangu nilikuwa nawazungumzia wanaume wenye maudhaifu hayo lakini sio wote....................... kama mimi baba yako.......akha! siko hivyo kabisaaa, muulize mama ngina atakwambia ukweli mtupu.............
haki ya mungu vile nakuapia` wallahi...................
Mtambuzi umeniagusha na you have dissapointed me.... Mwanajamiione ni moja ya wadada ambao wanamchango na mawazo ya hali ya juu saana hasa katika mahusiano na hapa MMU... What are you trying to do? Inakua kama vile umeshindwa argue point ya MJ1 Sasa watumia "attack" technique....
AshaDiii huyo ni mwanangu mwenyewe, sina wasiwasi naye.......... unajua natumia mashoto........... mkono umechoka nioneeni huruma mwenzenu