Tahadhari: Makundi ya Bongo flavour yanaweza kusambaratika

Daz nunda walikuwa vzuri tu ila kwishney.....
 
Zamani wasanii wabongo walikuwa wanapenda makundi ili wachangishane hela ya kwenda studio maana studio zenyewe zilikuwa chache Na gharama juu.

Siku hizi mambo yamebadilika hata ukiwa Na elfu 25 unapata beat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…