Tahadhari: Misaada na ndoa za jinsia moja

Tahadhari: Misaada na ndoa za jinsia moja

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
442
Reaction score
729
KANISA la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jerusalem Temple, Soko Matola jijini Mbeya, limekemea ndoa za jinsia moja ambazo zimeanza kushamiri nchini.

Kutokana na hali hiyo, kanisa hilo limeiomba serikali kutokukubali misaada inayotolewa kwa sharti la kuruhusu ndoa za aina hiyo ili kuendana na matakwa ya Mwenyezi Mungu.

"Naiomba serikali yetu na viongozi wetu, wasikubali kupokea misaada ambayo itakuwa na masharti ya kuruhusu ushoga nchini kwetu. Ni bora tukafa na umaskini wetu kuliko kuruhusu hizo ndoa," alisema Askofu Mwajunga.

chanzo
Nipashe.
 
Hakuna msaada wenye masharti ya ndoa za jinsia moja.

Ila wana harakati wa haki za binadamu wa huko nchi za nje hupiga kelele nchi zao zisisaidie nchi zinazokandamiza watu wavutiwao na watu wa jinsia moja, waliobadili jinsia, wavutiwao na jinsia zote ama wenye jinsia mbili
 
Hakuna msaada wenye masharti ya ndoa za jinsia moja.

Ila wana harakati wa haki za binadamu wa huko nchi za nje hupiga kelele nchi zao zisisaidie nchi zinazokandamiza watu wavutiwao na watu wa jinsia moja, waliobadili jinsia, wavutiwao na jinsia zote ama wenye jinsia mbili
Umejuaje?! Lakini Askofu alichokifanya ni kutoa tahadhari.

Maana hata kama hakuna haimaanishi haitaweza kuwa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna badooo hadi mtajutaa kupokea vya buree kwa watu.
Kuna kiongozi alisema "ukitaka kula sharti uliwee"

Akili kichwani mwenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna badooo hadi mtajutaa kupokea vya buree kwa watu.
Kuna kiongozi alisema "ukitaka kula sharti uliwee"

Akili kichwani mwenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika akili lazima ziwe kichwani mwetu
 
KANISA la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jerusalem Temple, Soko Matola jijini Mbeya, limekemea ndoa za jinsia moja ambazo zimeanza kushamiri nchini.

Kutokana na hali hiyo, kanisa hilo limeiomba serikali kutokukubali misaada inayotolewa kwa sharti la kuruhusu ndoa za aina hiyo ili kuendana na matakwa ya Mwenyezi Mungu.

"Naiomba serikali yetu na viongozi wetu, wasikubali kupokea misaada ambayo itakuwa na masharti ya kuruhusu ushoga nchini kwetu. Ni bora tukafa na umaskini wetu kuliko kuruhusu hizo ndoa," alisema Askofu Mwajunga.

chanzo
Nipashe.
Tamko zuri la kanisa
 
USHOGA NA UTAAHIRA KAMWE HATUWEZI KUANGAMIZA KWA NJIA YA MAFUNZO YA MAADILI BORA YA KIJAMII PEKE YAKE BALI PIA LAZIMA TUANGAMIZE KWA MAPAMBANO DHIDI YA SILAHA ZA KIBAOLOJIA ZA GMO ANGAMIZI KIAFYA NA CHANJO NGENI ANGAMIZI ZA KIAFYA ZA KINGA DHIDI YA MAGONJWA MBALIMBALI NA KUHIMIZA UNYWAJI WA CHANJO ZA MIMEA YA DAWA MBALIMBALI YENYE KINGA DHIDI YA MAGONJWA MBALIMBALI AMBAYO PIA HULINGANISHA USAWA WA HORMONES ZA KIJINSIA( BALANCING OF GENITAL SEXUAL HORMONES) KAMA VILE MIMEA DAWA YA TARAXACUM OFFICINALE, MIMOSA PUDICA NA ANGELICA SINENSIS YAANI DONG QUAI AMBAYO HUKINGA DHIDI YA USHOGA NA UTAAHIRA.

Mapambano dhidi ushoga na utaahira kamwe hayawezi kufanikiwa kuwa kutii maadili bora ya kijamii peke yake bali pia ni lazima jamii husika ipambane dhidi ya vita vya silaha za kibaolojia za aina mbalimbali za chanjo angamizi kiafya dhidi ya magonjwa mbalimbali na kupambana dhidi ya ulaji wa vyakula vya aina mbalimbali za GMO angamizi kiafya kutoka nchi za kigeni.

Wanasayansi wa afya kukwepa majukumu yao ya kutafiti uwepo wa vita vya silaha za kibaolojia kupitia aina mbalimbali za chanjo angamizi kiafya za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali pamoja na uwepo wa vyakula vya wanyama na mimea vyenye GMO angamizi kwa afya ya binadamu hakumaanishi kuwa hakuna hizo silaha za kibaolojia bali pia husababisha ujengaji wa fikra potofu za viongozi wa kiafrika wenye hoja zinazopotosha kuwa hakuna vita vya silaha za kibaolojia zinazotokana na chanjo angamizi kiafya wala vyakula vya GMO angamizi kiafya.

Upo ushahidi unaothibitisha kuwa siyo tu watanzania wamekwisha ingiliwa kuangamizwa na silaha za kibaolojia bali pia nchi zote za kiafrika kusini mwa jangwa la Salaha zimevamiwa na silaha za kibaolojia. Ushahidi huo wa kisayansi unathibitishwa hapa kwa uwepo wa asilimia 40% ya wanafunzi wote wa shule za msingi wamebainika kuwa mataahira nchini Tanzania, mlipuko wa ugonjwa wa uterine fibroids unaotokea kwa asilimia 20% ya wakimama wote wenye uwezo wa kuzaa ambao wapo chini ya miaka 35, mlipuko wa ugonjwa wa cancer za aina mbalimbali zinazotokea kwa asilimia 20 ya wakimama wote wenye uwezo wa kuzaa.

Magonjwa yaliyotajwa uterine fibroids kwa wanawake na cancer za aina mbalimbali hazikujitokeza kwa wanawake na wanaume kwenye miaka ya nyuma kuanzia 1995 na kurudi nyuma. Pia kujitokeza kwa magonjwa mlipuko ya aina mbalimbali ambayo hayajulikani kisayansi ni ushahidi wa uvamizi wa silaha angamizi za kibaolojia dhidi yetu ambazo husababisha kujitokeza kwa magonjwa mlipuko yasiyojulikana kama ule ulivyojitokeza Rwangwa mkoani Lindi hapo tarehe 12 July 2022 ambao watu 13 waliambukizwa na watu watatu walikufa.

Mlipuko wa magonjwa mbalimbali yaliyo na utata wa namna yanavyojitokeza kama vile ugonjwa wa ebola kwenye nchi mbalimbali za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara ni ushahidi tosha wa kuthibitisha uwepo wa silaha angamizi za kibaolojia kwenye jamii zote za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara.

Serikali za nchi za Afrika zinawajibika kufanya utafiti wa kuhoji kwa nini kuna uwepo wa asilimia 40% ya wanafunzi wa shule za msingi walio taahira hapa Afrika? Je kiwango hicho cha mataahira wanafunzi waliopo Afrika kinalingana sawa na kile kiwango cha wanafunzi taahira waliopo Ulaya, Amerika na Asia? Na kama kiwango hicho kimezidi idadi yake hapa Afrika ni kwa nini wakati muda wa nyuma ya miaka ya 1990 tulikuwa na kiwango kidogo sana cha mataahira?

Serikali inawajibika kutafiti kwa nini kwa sasa kuna mlipuko wa kujitokeza mashoga vijana wengi sana walio chini ya miaka 25 ambao wanapatikana kwenye majiji, miji na vijiji vikubwa vilivyo maarufu?

Maswali yote ya kitafiti ya hapo juu yanajibiwa kwa uthibitisho wa matokeo ya matumizi ya chanjo ngeni angamizi kwa afya za waafrika pamoja na ulaji wa vyakula vya GMO angamizi kwa afya za waafrika.

Tunapopinga ulaji wa vyakula vya GMO hatumaanishi kuwa vyakula vyote vya GMO ni angamizi kwa afya za walaji bali pia maadui wetu hutumia fursa ya kupenyeza silaha zao za kibaolojia kwa njia ya kusambaza vyakula vya GMO.

Kwa nini waafrika wasijikinge dhidi ya magonjwa mbalimbali kwa njia ya matumizi ya unywaji wa mimea ya dawa inayokinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia inayolinganisha usawa wa hormones za kijinsia( balancing of genital sexual hormones) kama vile Taraxacum officinale na Angelica sinensis( Dong quai )? Kwa nini tuna idadi kubwa sana ya mimea ya dawa inayoweza kutumika kama chanjo za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia yenye uwezo wa kulinganisha usawa wa hormones lakini hatuitumii mimea hiyo? Mimi nimeleta mfano wa mimea mitatu tu lakini nina uhakika wapo phytomedical Doctors wengi wenye uwezo wa kutuletea mimea dawa mingi yenye uwezo wa kuwa kama chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali na pia yenye uwezo wa kukinga dhidi ya ushoga na utaahira.

Phytomedical science imethibitisha namna ya uratibu wa dozi ya mimea ya dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica inavyofanikisha kukinga dhidi ya magonjwa mbalimbali kwa ufanisi mkubwa ukiwa kama chanjo ya asili kwa wakina mama wajawazito wanaorithisha kinga imara dhidi ya magonjwa mbalimbali ya watoto wachanga ambao huzaliwa bila upotoshaji wa hormones zao za jinsia kama zinavyopotosha chanjo ngeni angamizi wazopewa akina mama wajawazito zinazolazimisha kujitokeza kwa mashoga, mataahira na magonjwa mbalimbali angamizi kwa kizazi Cha kiafrika.

Unywaji wa dozi ya mimea dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica hulazimika kutumika siyo tu kwa akina mama wajawazito bali unawajibika kutumika kwa kila binadamu kuanzia mwaka mmoja na kuendelea kwa lengo la kukuza na kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na kulinganisha usawa wa hormones za kijinsia za kiume na za kikike ili kuepusha kujitokeza kwa hisia za kishoga.

Dozi ya mmea wa dawa wa Angelica sinensis hutumika kwa wanawake pekee kuanzia umri wa miaka tisa kabla ya mwanamke kubalehe ili kumuandaa kumwezesha uzalishaji mkubwa wa hormones za kike zinazomwandaa msichana kuoteshwa matiti na kuboresha urembo wa sura ya kike kwa msichana. Mmea huu wa Angelica sinensis hautumiki kwa wanaume bali unatumika kwa wanawake pekee wasio wajawazito kwa sababu unalazimisha kuondoa mimba.

Wanawake waliokunywa dozi ya mmea huu wa Angelica sinensis kwenye wakati husika kamwe hawataugua uterine fibroids na cancer za aina mbalimbali na pia hawawezi kushawishika kwenye hisia za usagaji kwa sababu wanakuwa ndio wenye hormones kamilifu za kikike zenye nyege kubwa za mvuto wa tamaa ya kuwapenda waume zao kingono.

Jitahidi ipatie familia yako ya kike dozi ya dawa ya mmea huu wa Angelica sinensis ili ijikinge dhidi ya magonjwa ya cancer za aina mbalimbali, uterine fibroids na pia ijikinge dhidi ya usagaji.

Hakuna vijana wa kiume waliokunywa mara kwa mara dozi ya mmea wa dawa wa Taraxacum officinale na Mimosa pudica kuanzia mwaka mmoja hadi 18 ambao watakutwa kwenye hisia za ushoga kwa sababu hormones zao za kiume zimeshalinganishwa usawa wake na pia zimeshaimarisha kwenye ukamilifu wake wa kiume unaosababisha mvuto wa kufanya ngono na wake zao.

Kwa hiyo tunapaswa kutoa mafunzo ya maadili bora kwa jamii zetu za kupinga ushoga na utaahira huku tukichukua hatua kali za kitabibu za kupambana dhidi ya ushoga, utaahira na dhidi ya magonjwa mbalimbali. Hakuna mama mja mzito aliyekunywa dozi ya mimea ya dawa ya Taraxacum officinale na Mimosa pudica kwa kikamilifu ambaye atazaa mtoto taahira na kujitokeza kuwa shoga kwenye maisha yake ya hapo baadaye.

Kwa matatizo ya magonjwa yote sugu nipigie kwenye namba 0757559876

Ni mimi Doctor Claudius Haule Ligendayika
 
Hakuna msaada wenye masharti ya ndoa za jinsia moja.

Ila wana harakati wa haki za binadamu wa huko nchi za nje hupiga kelele nchi zao zisisaidie nchi zinazokandamiza watu wavutiwao na watu wa jinsia moja, waliobadili jinsia, wavutiwao na jinsia zote ama wenye jinsia mbili
Fanya utafiti
 
Haitoshi kupinga kwa maneno na maandamano! Ni kukamata mashoga wote na kuwasweka ndani!
 
Back
Top Bottom