Tahadhari mnaopenda kuchukua wasichana warembo

Tahadhari mnaopenda kuchukua wasichana warembo

Rev Masanilo ahsante kwa dawa jini ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Hahahaha.....unafurahisha kweli Dr wa ukweli. Unatoa tahadhari wakati wewe mwenywe jaribu linaweza kukushinda....pole!

mwenyewe unajua tabasam hilo kila mwanaume atafika tu,........ ndio hivyo hata majini yanatushinda kwa sura kali kama hizo
 
mie naona hiyo lbd itasaidia wanaume kutulia!! nilikuwa natamani kila mwanaume akutane na jini alafu limzabue makofi kama mawili tu, then tabia zenu zitabadilika na kukaa sawa!!

Hahaha sio kwetu pemba na unguja majini ndio wake zetu kabisa ikisha watamu sana,ikisha hawa ndio wanakutoa ki life mukiwapata musiwaaache watokeeni kimtindoo,ela mie yakhe sijapatapo jini wa kitanganyika nijue ladha yake...mweeh
 
Back
Top Bottom