Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
NAKAZIAMlambe kofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAMlambe kofi
Serikali ijenge tu four ways Dar mpaka MoroKuna bonge la foleni morogoro road,ajali mbaya , zimetokea Kama mbili,fuso imegonga gari kubwa,na fuso nyingine ya nyanya imepinduka bondeni,watu wanazoa nyanya,hizi ajali mlandizi zimezidi Sasa,juzi newforce,Kuna pepo baya
Kipande cha kibaha - chalinze kuna lango la kuzimu hapo. Ajali nyingi ni za kutengenezwa na hawa wazee wa suti walioamua kujiuza nafsi zao kwa lucifer kwa ajili ya utajiri, na umaarufu.hizi ajali mlandizi zimezidi Sasa
Wajenge by passSerikali ijenge tu four ways Dar mpaka Moro
Yupo chamani KwanKuna yule Dkt William mtanzania Usa, ailtabiri mwezi was Saba kutakuwa na matukio mengi ya ajali.
Anyway mungu awatie nguvu wore waliopata matatizo.
Wapige fire za kutosha kuwakimbiza wazee wa sutiKipande cha kibaha - chalinze kuna lango la kuzimu hapo. Ajali nyingi ni za kutengenezwa na hawa wazee wa suti walioamua kujiuza nafsi zao kwa lucifer kwa ajili ya utajiri, na umaarufu.
Hyo barabara inatakiwa ipanuliwe iwe njia sita angalau mpak chalinze , jiwe angekuwepo hili lingekuwa lishafanyika , mtasingizia madereva Ila miundo mbinu ni mibovu haiendani na mahitajiKuna bonge la foleni morogoro road,ajali mbaya , zimetokea Kama mbili,fuso imegonga gari kubwa,na fuso nyingine ya nyanya imepinduka bondeni,watu wanazoa nyanya,hizi ajali mlandizi zimezidi Sasa,juzi newforce,Kuna pepo baya
Malango ya kafara za ajali za barabarani nchini ni Morogoro, Singida na Mbeya hizi pande haipiti mwezi shetani ajachukua damu.Kipande cha kibaha - chalinze kuna lango la kuzimu hapo. Ajali nyingi ni za kutengenezwa na hawa wazee wa suti walioamua kujiuza nafsi zao kwa lucifer kwa ajili ya utajiri, na umaarufu.