Uchaguzi 2020 Tahadhari muhimu kwa CHADEMA na ACT Wazalendo

Naam, huu Ni mpango mzuri Sana, 2015 CCM waliweka base Yao kule masaki bao la mkono, chadema ofisi Yao ikavamiwa na kuporwa vifaa vyao,

Kwa Sasa wajipange Tena kwa intelejensia kubwa maana hivyo vituo vya kujumlishia vya upinzani polisi na kitengo watavivamia na kuharibu kila kitu!!

Bora waweke vituo vingi fake ili kupoteza maboya,
Kila kitu kiwekwe mitandaoni!
Japo huenda internet ikazimwa siku hizo
 
Mawakala wa upinzani kwenye majimbo na kata pendwa siku ya uchaguzi watajikuta wanapata tatizo la tumbo kuharisha damu ( Tena ameoba)
 
Ukipiga kura Linda kura by Sugu Mbeya 20/10/2020
Your browser is not able to display this video.
 
TEETH ndio wanaorganise kura feki ,Lissu aitishe press conference fasta kuihabarisha dunia uhuni unaoendelea wa Teeth kufeki uchaguzi mkuu.....Mwaka huu hakuna uhuni tena....Tutagawana ballot box na maturubai gazebo za NEC.
 
Tuko pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ