The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Nimekuwa natibiwa hospitali za private zinazosifika hapa nchini na kuaminika, nilichogundua juzi kimenishangaza mno.
wakati nasuburi kumuona daktari wakaja watu wawili wamependeza na wameshika mikoba as if ni watu wako na haraka hivi na wamekuja labda kufanya vipimo au kuwaona watu wanaowafahamu kwa dharura.....
Baada ya ku chat na mmojawapo ambaye ni mdada mrembo hivi, it turn out kumbe ni watu wa promosheni
za madawa,na hapo hospitali wamekuja fanya promosheni ya madawa yao.
kwa ufupi wenye makampuni yanayoingiza madawa na pharmacy kubwa kubwa wanafanya promosheni ya madawa mahosipitailini..hasa ya private... wanachokifanya ni kudeal na madokta tu,mwenye hospitali anaweza hata asijue.
wanawapa madokta kuanzia diary,t shirts,vikombe mpaka pesa nimeambiwa ili dokta awaandikie wagonjwa dawa fulani ambazo wenye maduka hayo wanazo.
yaani unaweza andikiwa dawa hata kama hiyo dawa si dawa kweli wataalamu wanaita placebos......unaingia gharama huku hujui unalipia placebos na sio dawa, na pia madawa ya kweli ambayo pengine mgonjwa hana ulazima wa kuyatumia....
Tahadharini jamani.
wakati nasuburi kumuona daktari wakaja watu wawili wamependeza na wameshika mikoba as if ni watu wako na haraka hivi na wamekuja labda kufanya vipimo au kuwaona watu wanaowafahamu kwa dharura.....
Baada ya ku chat na mmojawapo ambaye ni mdada mrembo hivi, it turn out kumbe ni watu wa promosheni
za madawa,na hapo hospitali wamekuja fanya promosheni ya madawa yao.
kwa ufupi wenye makampuni yanayoingiza madawa na pharmacy kubwa kubwa wanafanya promosheni ya madawa mahosipitailini..hasa ya private... wanachokifanya ni kudeal na madokta tu,mwenye hospitali anaweza hata asijue.
wanawapa madokta kuanzia diary,t shirts,vikombe mpaka pesa nimeambiwa ili dokta awaandikie wagonjwa dawa fulani ambazo wenye maduka hayo wanazo.
yaani unaweza andikiwa dawa hata kama hiyo dawa si dawa kweli wataalamu wanaita placebos......unaingia gharama huku hujui unalipia placebos na sio dawa, na pia madawa ya kweli ambayo pengine mgonjwa hana ulazima wa kuyatumia....
Tahadharini jamani.