Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaa. Ni Hatari sana, kama umemuweka kijana mpya ktk Biashara yako, uwe makini watampasua chapi kwa noti Bandia.Huu ndio wakati wa kuingiza hizo fekelo kwenye mizunguko.
Na sababu kubwa ni pressure ya uchaguzi mamoja na ulafi wa madaraka.
Acha unoko ndugu....sasa zinakuhusu nini?Tafadhali ndugu zangu angalizo wiki hii kuna pesa nyingi za Bandia nimekutana nazo nahisi kama kuna watu wameanza kuingiza pesa Bandia ktk mzunguko.
Cashless is vietual money has no value in production...Hapa ndio umuhimu wa cashless economy unavyoonekana..
Au niko wrong wajuvi...
Wengi hawajui pesa bandia usikute na yeye kashikishwa bila kujua na mpaka anakupa wewe alikua hajui kama ni bandiaKuna boya mmoja Mbezi Temboni wa Bajaj kanipa hiyo 5000 fake majuzi tu. Nikamwambia hii siyo pesa, umenionaje bwashee?
Alijua.Wengi hawajui pesa bandia usikute na yeye kashikishwa bila kujua na mpaka anakupa wewe alikua hajui kama ni bandia
Yani broo; unamnyamazisha jamaa anayetutahadharisha ili tupigwe na kitu kizito? Aisee!Acha unoko ndugu....sasa zinakuhusu nini?
Kenya wamefanikiwa hili...sisi sijui tunafeli wapHapa ndio umuhimu wa cashless economy unavyoonekana..
Au niko wrong wajuvi...