HujamuelewaCashless is vietual money has no value in production...
Utajiri wa kina Elon Musk.
Huoni wamezalisha nini kwenye dunia hadi wawe matajiri.
PhD in Economics (first class) ipo bize kuongeza mabasiHapa ndio umuhimu wa cashless economy unavyoonekana..
Au niko wrong wajuvi...
Malipo cash mimi huwa nakataa siiu hizi, tuma tu..Daaaa. Ni Hatari sana, kama umemuweka kijana mpya ktk Biashara yako, uwe makini watampasua chapi kwa noti Bandia.
Ni kipindi cha kupiga.. Mamlaka ziko busy kuiba uchaguzi ili chama chawala kishindeTafadhali ndugu zangu angalizo wiki hii kuna pesa nyingi za Bandia nimekutana nazo nahisi kama kuna watu wameanza kuingiza pesa Bandia ktk mzunguko.
🙋♂️✍️🎯🤝💯%Duh hatari sana na hasara
Na mimi sinunui kwako ujinga mtupuMalipo cash mimi huwa nakataa siiu hizi, tuma tu..
Uongo mtupuTafadhali ndugu zangu angalizo wiki hii kuna pesa nyingi za Bandia nimekutana nazo nahisi kama kuna watu wameanza kuingiza pesa Bandia ktk mzunguko.
Ndugu yangu ananunua korosho huko RUNALI - Kusini, unaambiwa wakulima wanapigwa nazo sana.Uongo mtupu
Utanunua sukari robo kwa cashless?Hapa ndio umuhimu wa cashless economy unavyoonekana..
Au niko wrong wajuvi...
Shida bado tunaishi kwenye zama za kale😩Hapa ndio umuhimu wa cashless economy unavyoonekana..
Au niko wrong wajuvi...
Mzee Prof Mwandosya alisema kusoma na kupata PhD ukiwa mwanasiasa tena Waziri kutoka vyuo vya nyumbani, kuna ukakasi sanaPhD in Economics (first class) ipo bize kuongeza mabasi
Matatizo hayajawahi kuisha ila unaweza kuyapunguza. Ikiwepo hiyo cashless itatumika na cash itatumika, tatizo litapungua, sio kama sasa ambapo hamna kabisaUtanunua sukari robo kwa cashless?
BOT wanatoa hii elimu.Tupeni elimu, pesa ya bandia iko vp na inatengenezwa wapi na inaingia vp kwenye mzunguko na utaitambua aje kwa haraka?
Mi mwenyewe nilishangaa mwaka 2020 matatu number iko ndani pale mbele unalipa kwa M-pesa kama huna cash.Kenya wamefanikiwa hili...sisi sijui tunafeli wap
Unaweza kaa kenya mwaka hujawahi shika hela... daladala unalipa kwa mpesa...mama ntilie, bodaboda, maduka yote nk.
Mungu jamani chukua Viongozi wote wazembe. Wanatufelisha sana. Kuanzia starlink, PayPal, mpesa, free wifi kwenye public spaces, BRT, SGR nk...ni uzembe tu na roho mbaya...
Halafu hawawazi shilling yetu inavyoporomoka hovyo...kutoka 2300 hadi 2800 na wako kimya na ukihoji unatekwa na kuuwawa