Kwa wale wakazi wa mbagala manaopenda kuingia kwenye magest kuna gest moja kwa jina manchester ukifika hapo kama ukisikia mpe chumba cha BEKHAM usikubali kwani hicho chumba ni maarufu kwa kipiga chabo saaana na watu wanalipia kila chabo buku kuna jamaa yangu yamemtokea huko na kilichomfanya astuke ni mijamaa kuanza kuguna wakati jamaa anashulika na mambo yake