bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,205
- 2,905
Ndugu wanajukwaa
Nimesoma kwenye gazeti la Mailonline kwamba kuna ugonjwa wa mlipuko umetokea Madagaskar na unaambukizwa kwa njia ya hewa, mate au kamasi na unaua ndani ya masaa 24.
Naomba kama kuna hatua zozote zimechukuliwa na serikali kutengeneza awareness kwetu mnifahamishe maana inasemekana kuna uwezekano wa ugonjwa kusambaa na kufika Tanzania pamoja na mataifa yanayopakana na nchi ya Madagaskar
SOURCE: World Bank releases $5m to tackle Madagascar plague | Daily Mail Online
Nimesoma kwenye gazeti la Mailonline kwamba kuna ugonjwa wa mlipuko umetokea Madagaskar na unaambukizwa kwa njia ya hewa, mate au kamasi na unaua ndani ya masaa 24.
Naomba kama kuna hatua zozote zimechukuliwa na serikali kutengeneza awareness kwetu mnifahamishe maana inasemekana kuna uwezekano wa ugonjwa kusambaa na kufika Tanzania pamoja na mataifa yanayopakana na nchi ya Madagaskar
SOURCE: World Bank releases $5m to tackle Madagascar plague | Daily Mail Online