Tahadhari: Ugonjwa wa Mlipuko Huu unasumbua Madagascar

Yeah, nimeeleza hapo juu#18.

Ndui chanjo ilisambaa sana, tauni tulipata chanjo Tanzania?
Hakuna. Serikali wala sehemu binafsi.
Tiba yake ni cheap ila ndo kuwahi kutibiwa.
 
Hakuna. Serikali wala sehemu binafsi.
Tiba yake ni cheap ila ndo kuwahi kutibiwa.
Halafu hata kama tiba cheap, tatizo magonjwa haya yanasambaa kirahisi na mlipuko ukishaanza kuudhibiti kazi sana,hapo ndipo unapokuja umuhimu wa chanjo.
 
Mkuu hii bubonic plague nafikiri ni tofauti kidogo na ndui. Plague yenyewe ina sababishwa na bacteria waitwao yersinia pestis hawa ni gram negative bacteria au jina lingine ni safe pin hawa vector wake ni panya black rats. Ugonjwa huu uliuwa 3/4 ya population ya dunia kipindi icho.

hugonjwa huu uleta dalili kama za pneumoniae mgonjwa hushindwa vuta pumzi na kufa ndani ya mda mchache.

Lab: diagnosis makohoz( sputum) hupimwa kwa method itwayo wayson stay ili kuweza kuwa detect hao bacteria.

NOTE: panya ni ha ambukizi ugonjwa bali kuna viroboto vilivyo mwilini mwake ambavyo ndivyo u hambukiza ugonjwa.

chukulia kama sehemu yaku jifunza na siyo ku kosoa. Karibu.
 
Nimeeleza post #18

Asante kwa maelezo zaidi.
 
Halafu hata kama tiba cheap, tatizo magonjwa haya yanasambaa kirahisi na mlipuko ukishaanza kuudhibiti kazi sana,hapo ndipo unapokuja umuhimu wa chanjo.
Ni kweli lakini kwenye nchi zetu hizi ni changamoto kama chanjo ni ghali.
Na hata sasa serikali imepitisha chanjo za maradhi aina mbili ila bado hazipo kwenye mpango wa taifa wa chanjo. Ni sehemu chache tu unaweza pata hizo chanjo. Tatizo pesa
 

Mkuu hiyo sindano ya ndui ntaipataje?
 
saw saw saf sana,nimependa ufafanuzi wako makin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…