Tahadhari: Wakazi wa Mikocheni mpaka Ubungo Sheli Kesho Msitoke Nje

Tahadhari: Wakazi wa Mikocheni mpaka Ubungo Sheli Kesho Msitoke Nje

Unasemeje

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2021
Posts
249
Reaction score
923
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo.

Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari inawanyemelea huko.

Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo tusilaumiane.
 
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho tafadhali nunua leo, wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani kwenu. Kuna hatari inawanyemelea huko.

Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo tusilaumiane.

😂😂😂😂😂 bado nacheka.
 
dc12e6b424f3b9b03932a87ee7f3c8a0.jpg
 
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo.

Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari inawanyemelea huko.

Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo tusilaumiane.
Mods Futa uzi huu
 
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo.

Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari inawanyemelea huko.

Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo tusilaumiane.
Kataa pombe sema no to alcohol

Ona sasa
 
Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo.

Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari inawanyemelea huko.

Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo tusilaumiane.
Umeharibu kutoa hii tahalifa subili nihingie kiringeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom