KASALE MALETON MWAANA
New Member
- Jul 29, 2021
- 0
- 10
Na
Kasale Maleton Mwaana (Mwenyeji wa Ngorongoro)
NINI KIFANYIKE KUBORESHA UHIFADHI NA MAISHA YA WENYEJI!?
Mamlaka ya hifadhi kwa kusaidiana na wizara ya maliasili na utalii pamoja na serikali kwa ujumla, waruhusu kilimo cha kujikimu kwa wenyeji katika maeneo husika ili kupunguza janga la njaa na umaskini kwa wenyeji.
Serikali wahakikishe wanawapa watu Uhuru wa kumiliki ardhi na kijenga makazi ya kudumu katika ardhi yao. Hivyo watu waruhusiwe kuingiza vifaa vya ujenzi ili kubadilisha makazi kwa kujenga nyumba Bora zisizotumia miti kwa asilimia kubwa Kama nyumba za kienyeji, kwani zinaathari kwa mazingira ( haya ni miongoni mwa makosa yaliyofanywa na wahifadhi kuwanyima watu kujenga nyumba za kudumu Kama za tofali n.k.)
Serikali iboreshe huduma za kijamii Kama elimu na afya na maji kwa kujenga shule nyingi za msingi, sekondari na vyuo, kujenga vituo vingi vya Afya na hospitali, kutafuta vyanzo vingi vya maji , kuwaelimisha watu juu ya namna ya kuepukana na magonjwa , na kuwaelimisha juu ya ujasiriamali na shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji .
Serikali, wizara ya maliasili na utalii na Mamlaka ya hifadhi kupitia idara yake ya maendeleo ya jamii, wahakikishe kuwa wenyeji wanafaidika na kile kitokanacho na utalii, kwa kutoa upendeleo wa pekee wa ajira kwa wenyeji, angalau asilimia 30 ili kupunguza umaskini na kuongeza uhusiano mwema Kati ya wenyeji na uhifadhi.
Pia watoe elimu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira, kutumia nishati mbadala na ambayo ni rafiki kwa mazingira ( Environmental friendly and renewable sources of energy), na namna ya kushiriki kikamilifu katika kutunza mazingira .
Serikali waboreshe miundombinu ya Barabara, masoko na kutengeneza mazingira rafiki ili wenyeji waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.
Zoezi hili liende sambamba na kuwaelimisha vijana na akina mama juu ya ujasiriamali, na kutengeneza fursa na mazingira wezeshi ili waweze kuwekeza katika maeneo yao na kuepuka kwenda kuzurura mijini na nchi jirani hivyo kuhatarisha maisha yao.Hii pia huwasaidia kuondokana na umaskini na kushiriki katika shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Wafugaji waruhusiwe kuingiza mifugo katika maeneo yenye vyanzo vya maji na majani ya kutosha kwa mifugo wakati wa kiangazi Kama Oldupai na misitu ya Ngorongoro ( Entim oolturot), kwani maeneo hayo ni kimbilio la wenyeji hasa wakati wa kiangazi ambapo Kuna shida ya maji na kukosekana kwa malisho ya Ng'ombe, na Hakuna ushahidi kwamba mifugo wanaharibu maeneo hayo.
Pia tunaomba serikali waruhusu watu kupeleka mifugo katika kreta ya Ngorongoro ili kupata maji yenye madini muhimu kwa afya ya mifugo. Jambo hili linaweza kufanywa periodically ( atleast twice a month) kwa miezi ya desember Hadi june.
Mamlaka ya hifadhi, wizara ya maliasili na utalii na serikali kwa ujumla waturudishie baraza letu la wafugaji Ngorongoro ( NPC), kwani chombo hicho ilikuwa ni daraja muhimu kati ya Mamlaka na wenyeji na uhifadhi kwa ujumla. Ni chombo ambacho wananchi hutumia katika kupasa sauti yao kwamba mambo yanayohusu uhifadhi na maisha ya wenyeji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi, hali ya hewa, maendeleo ya teknolojia na sayansi, mabadiliko ya kiutamaduni na utandawazi, maendeleo ya kiuchumi kijamii na kisiasa n.k. hayazuiliki kutokea kwa wakati tuliopo na huweza kuwa na athari chanya au hasi katika uhifadhi na jamii kwa ujumla. Athari hasi zinapotokea, serikali, Mamlaka ya hifadhi na wenyeji washirikiane kwa pamoja kukabiliana na athari hizo, na sio Mamlaka au serikali kufanya maamuzi yasiyoshirikishi kwa jamii, na hivyo kuja na matokeo ambayo Mara nyingi huelekezwa kuwaumiza wenyeji
Serikali wahakikishe wanawapa watu Uhuru wa kumiliki ardhi na kijenga makazi ya kudumu katika ardhi yao. Hivyo watu waruhusiwe kuingiza vifaa vya ujenzi ili kubadilisha makazi kwa kujenga nyumba Bora zisizotumia miti kwa asilimia kubwa Kama nyumba za kienyeji, kwani zinaathari kwa mazingira ( haya ni miongoni mwa makosa yaliyofanywa na wahifadhi kuwanyima watu kujenga nyumba za kudumu Kama za tofali n.k.)
Serikali iboreshe huduma za kijamii Kama elimu na afya na maji kwa kujenga shule nyingi za msingi, sekondari na vyuo, kujenga vituo vingi vya Afya na hospitali, kutafuta vyanzo vingi vya maji , kuwaelimisha watu juu ya namna ya kuepukana na magonjwa , na kuwaelimisha juu ya ujasiriamali na shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Serikali, wizara ya maliasili na utalii na Mamlaka ya hifadhi kupitia idara yake ya maendeleo ya jamii, wahakikishe kuwa wenyeji wanafaidika na kile kitokanacho na utalii, kwa kutoa upendeleo wa pekee wa ajira kwa wenyeji, angalau asilimia 30 ili kupunguza umaskini na kuongeza uhusiano mwema Kati ya wenyeji na uhifadhi.
Pia watoe elimu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira, kutumia nishati mbadala na ambayo ni rafiki kwa mazingira ( Environmental friendly and renewable sources of energy), na namna ya kushiriki kikamilifu katika kutunza mazingira .
Serikali waboreshe miundombinu ya Barabara, masoko na kutengeneza mazingira rafiki ili wenyeji waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.
Zoezi hili liende sambamba na kuwaelimisha vijana na akina mama juu ya ujasiriamali, na kutengeneza fursa na mazingira wezeshi ili waweze kuwekeza katika maeneo yao na kuepuka kwenda kuzurura mijini na nchi jirani hivyo kuhatarisha maisha yao.Hii pia huwasaidia kuondokana na umaskini na kushiriki katika shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Wafugaji waruhusiwe kuingiza mifugo katika maeneo yenye vyanzo vya maji na majani ya kutosha kwa mifugo wakati wa kiangazi Kama Oldupai na misitu ya Ngorongoro ( Entim oolturot), kwani maeneo hayo ni kimbilio la wenyeji hasa wakati wa kiangazi ambapo Kuna shida ya maji na kukosekana kwa malisho ya Ng'ombe, na Hakuna ushahidi kwamba mifugo wanaharibu maeneo hayo.
Pia tunaomba serikali waruhusu watu kupeleka mifugo katika kreta ya Ngorongoro ili kupata maji yenye madini muhimu kwa afya ya mifugo. Jambo hili linaweza kufanywa periodically ( atleast twice a month) kwa miezi ya desember Hadi june.
Mamlaka ya hifadhi, wizara ya maliasili na utalii na serikali kwa ujumla waturudishie baraza letu la wafugaji Ngorongoro ( NPC), kwani chombo hicho ilikuwa ni daraja muhimu kati ya Mamlaka na wenyeji na uhifadhi kwa ujumla. Ni chombo ambacho wananchi hutumia katika kupasa sauti yao kwamba mambo yanayohusu uhifadhi na maisha ya wenyeji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi, hali ya hewa, maendeleo ya teknolojia na sayansi, mabadiliko ya kiutamaduni na utandawazi, maendeleo ya kiuchumi kijamii na kisiasa n.k. hayazuiliki kutokea kwa wakati tuliopo na huweza kuwa na athari chanya au hasi katika uhifadhi na jamii kwa ujumla. Athari hasi zinapotokea, serikali, Mamlaka ya hifadhi na wenyeji washirikiane kwa pamoja kukabiliana na athari hizo, na sio Mamlaka au serikali kufanya maamuzi yasiyoshirikishi kwa jamii, na hivyo kuja na matokeo ambayo Mara nyingi huelekezwa kuwaumiza wenyeji.
Kasale Maleton Mwaana
The Son of the Land.
Kasale Maleton Mwaana (Mwenyeji wa Ngorongoro)
NINI KIFANYIKE KUBORESHA UHIFADHI NA MAISHA YA WENYEJI!?
Mamlaka ya hifadhi kwa kusaidiana na wizara ya maliasili na utalii pamoja na serikali kwa ujumla, waruhusu kilimo cha kujikimu kwa wenyeji katika maeneo husika ili kupunguza janga la njaa na umaskini kwa wenyeji.
Serikali wahakikishe wanawapa watu Uhuru wa kumiliki ardhi na kijenga makazi ya kudumu katika ardhi yao. Hivyo watu waruhusiwe kuingiza vifaa vya ujenzi ili kubadilisha makazi kwa kujenga nyumba Bora zisizotumia miti kwa asilimia kubwa Kama nyumba za kienyeji, kwani zinaathari kwa mazingira ( haya ni miongoni mwa makosa yaliyofanywa na wahifadhi kuwanyima watu kujenga nyumba za kudumu Kama za tofali n.k.)
Serikali iboreshe huduma za kijamii Kama elimu na afya na maji kwa kujenga shule nyingi za msingi, sekondari na vyuo, kujenga vituo vingi vya Afya na hospitali, kutafuta vyanzo vingi vya maji , kuwaelimisha watu juu ya namna ya kuepukana na magonjwa , na kuwaelimisha juu ya ujasiriamali na shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji .
Serikali, wizara ya maliasili na utalii na Mamlaka ya hifadhi kupitia idara yake ya maendeleo ya jamii, wahakikishe kuwa wenyeji wanafaidika na kile kitokanacho na utalii, kwa kutoa upendeleo wa pekee wa ajira kwa wenyeji, angalau asilimia 30 ili kupunguza umaskini na kuongeza uhusiano mwema Kati ya wenyeji na uhifadhi.
Pia watoe elimu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira, kutumia nishati mbadala na ambayo ni rafiki kwa mazingira ( Environmental friendly and renewable sources of energy), na namna ya kushiriki kikamilifu katika kutunza mazingira .
Serikali waboreshe miundombinu ya Barabara, masoko na kutengeneza mazingira rafiki ili wenyeji waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.
Zoezi hili liende sambamba na kuwaelimisha vijana na akina mama juu ya ujasiriamali, na kutengeneza fursa na mazingira wezeshi ili waweze kuwekeza katika maeneo yao na kuepuka kwenda kuzurura mijini na nchi jirani hivyo kuhatarisha maisha yao.Hii pia huwasaidia kuondokana na umaskini na kushiriki katika shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Wafugaji waruhusiwe kuingiza mifugo katika maeneo yenye vyanzo vya maji na majani ya kutosha kwa mifugo wakati wa kiangazi Kama Oldupai na misitu ya Ngorongoro ( Entim oolturot), kwani maeneo hayo ni kimbilio la wenyeji hasa wakati wa kiangazi ambapo Kuna shida ya maji na kukosekana kwa malisho ya Ng'ombe, na Hakuna ushahidi kwamba mifugo wanaharibu maeneo hayo.
Pia tunaomba serikali waruhusu watu kupeleka mifugo katika kreta ya Ngorongoro ili kupata maji yenye madini muhimu kwa afya ya mifugo. Jambo hili linaweza kufanywa periodically ( atleast twice a month) kwa miezi ya desember Hadi june.
Mamlaka ya hifadhi, wizara ya maliasili na utalii na serikali kwa ujumla waturudishie baraza letu la wafugaji Ngorongoro ( NPC), kwani chombo hicho ilikuwa ni daraja muhimu kati ya Mamlaka na wenyeji na uhifadhi kwa ujumla. Ni chombo ambacho wananchi hutumia katika kupasa sauti yao kwamba mambo yanayohusu uhifadhi na maisha ya wenyeji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi, hali ya hewa, maendeleo ya teknolojia na sayansi, mabadiliko ya kiutamaduni na utandawazi, maendeleo ya kiuchumi kijamii na kisiasa n.k. hayazuiliki kutokea kwa wakati tuliopo na huweza kuwa na athari chanya au hasi katika uhifadhi na jamii kwa ujumla. Athari hasi zinapotokea, serikali, Mamlaka ya hifadhi na wenyeji washirikiane kwa pamoja kukabiliana na athari hizo, na sio Mamlaka au serikali kufanya maamuzi yasiyoshirikishi kwa jamii, na hivyo kuja na matokeo ambayo Mara nyingi huelekezwa kuwaumiza wenyeji
Serikali wahakikishe wanawapa watu Uhuru wa kumiliki ardhi na kijenga makazi ya kudumu katika ardhi yao. Hivyo watu waruhusiwe kuingiza vifaa vya ujenzi ili kubadilisha makazi kwa kujenga nyumba Bora zisizotumia miti kwa asilimia kubwa Kama nyumba za kienyeji, kwani zinaathari kwa mazingira ( haya ni miongoni mwa makosa yaliyofanywa na wahifadhi kuwanyima watu kujenga nyumba za kudumu Kama za tofali n.k.)
Serikali iboreshe huduma za kijamii Kama elimu na afya na maji kwa kujenga shule nyingi za msingi, sekondari na vyuo, kujenga vituo vingi vya Afya na hospitali, kutafuta vyanzo vingi vya maji , kuwaelimisha watu juu ya namna ya kuepukana na magonjwa , na kuwaelimisha juu ya ujasiriamali na shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Serikali, wizara ya maliasili na utalii na Mamlaka ya hifadhi kupitia idara yake ya maendeleo ya jamii, wahakikishe kuwa wenyeji wanafaidika na kile kitokanacho na utalii, kwa kutoa upendeleo wa pekee wa ajira kwa wenyeji, angalau asilimia 30 ili kupunguza umaskini na kuongeza uhusiano mwema Kati ya wenyeji na uhifadhi.
Pia watoe elimu juu ya umuhimu wa kutunza mazingira, kutumia nishati mbadala na ambayo ni rafiki kwa mazingira ( Environmental friendly and renewable sources of energy), na namna ya kushiriki kikamilifu katika kutunza mazingira .
Serikali waboreshe miundombinu ya Barabara, masoko na kutengeneza mazingira rafiki ili wenyeji waweze kushiriki ipasavyo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.
Zoezi hili liende sambamba na kuwaelimisha vijana na akina mama juu ya ujasiriamali, na kutengeneza fursa na mazingira wezeshi ili waweze kuwekeza katika maeneo yao na kuepuka kwenda kuzurura mijini na nchi jirani hivyo kuhatarisha maisha yao.Hii pia huwasaidia kuondokana na umaskini na kushiriki katika shughuli nyingine za kiuchumi mbali na ufugaji.
Wafugaji waruhusiwe kuingiza mifugo katika maeneo yenye vyanzo vya maji na majani ya kutosha kwa mifugo wakati wa kiangazi Kama Oldupai na misitu ya Ngorongoro ( Entim oolturot), kwani maeneo hayo ni kimbilio la wenyeji hasa wakati wa kiangazi ambapo Kuna shida ya maji na kukosekana kwa malisho ya Ng'ombe, na Hakuna ushahidi kwamba mifugo wanaharibu maeneo hayo.
Pia tunaomba serikali waruhusu watu kupeleka mifugo katika kreta ya Ngorongoro ili kupata maji yenye madini muhimu kwa afya ya mifugo. Jambo hili linaweza kufanywa periodically ( atleast twice a month) kwa miezi ya desember Hadi june.
Mamlaka ya hifadhi, wizara ya maliasili na utalii na serikali kwa ujumla waturudishie baraza letu la wafugaji Ngorongoro ( NPC), kwani chombo hicho ilikuwa ni daraja muhimu kati ya Mamlaka na wenyeji na uhifadhi kwa ujumla. Ni chombo ambacho wananchi hutumia katika kupasa sauti yao kwamba mambo yanayohusu uhifadhi na maisha ya wenyeji.
Mabadiliko ya tabia ya nchi, hali ya hewa, maendeleo ya teknolojia na sayansi, mabadiliko ya kiutamaduni na utandawazi, maendeleo ya kiuchumi kijamii na kisiasa n.k. hayazuiliki kutokea kwa wakati tuliopo na huweza kuwa na athari chanya au hasi katika uhifadhi na jamii kwa ujumla. Athari hasi zinapotokea, serikali, Mamlaka ya hifadhi na wenyeji washirikiane kwa pamoja kukabiliana na athari hizo, na sio Mamlaka au serikali kufanya maamuzi yasiyoshirikishi kwa jamii, na hivyo kuja na matokeo ambayo Mara nyingi huelekezwa kuwaumiza wenyeji.
Kasale Maleton Mwaana
The Son of the Land.
Upvote
2