Hadi pale kirusi cha Corona kitakapo tokomezwa inafahamika kuwa zitakuja variants hatari zaidi za kirusi hiki.
"Dhana kamili ya kuwa hakuna aliye salama hadi sote tuwe salama."
"Omicron" ndiyo iliyo variant mpya zaidi ikitokea Afrika Kusini.
Nchi kadhaa duniani zinachukua tahadhari kukizuia kuenea makwao ili kujiweka katika nafasi ya kukikabili kabla hakijaleta balaa.
Huo ndiyo ubinadamu unao tofautisha binadamu na nyani.
Tayari nchi kadhaa duniani zimesitisha usafiri wa anga baina yao na Afrika Kusini.
List of countries which have imposed travel ban in wake of Omicron outbreak
Sisi kulikoni? Au ni kazi kuendelea mpaka yatukute?
"Dhana kamili ya kuwa hakuna aliye salama hadi sote tuwe salama."
"Omicron" ndiyo iliyo variant mpya zaidi ikitokea Afrika Kusini.
Nchi kadhaa duniani zinachukua tahadhari kukizuia kuenea makwao ili kujiweka katika nafasi ya kukikabili kabla hakijaleta balaa.
Huo ndiyo ubinadamu unao tofautisha binadamu na nyani.
Tayari nchi kadhaa duniani zimesitisha usafiri wa anga baina yao na Afrika Kusini.
List of countries which have imposed travel ban in wake of Omicron outbreak
Sisi kulikoni? Au ni kazi kuendelea mpaka yatukute?