Tanganyika nayo itatawanyika vipande vipande.
Mbali ya huyu Mtanganyika huyu Mzanzibari, Tanganyika haitakuwa salama na ndio hata Waasisi wa Tanganyika waliusia sana kuhusu kuizulumu Zanzibar.
Zanzibar ni ya kulelewa na kufanikishwa kila wanachokitaka, wanahitaji kudekezwa kwa hali na mali, ila mkiendelea kuona ni chawa basi mjue hampo salama.
Natumai mmenielewa kwa kina kwani inabidi uzamie ndio utaona uhalisia wa umuhimu wa umoja uliopo, Zanzibar ni kanchi kadogo sana, ikiwa kuna mikoa mikubwa kuliko Zanzibar, tunashindwaje kuilea Zanzibar na kuondoa kionekanacho kama kero?
Mbali ya huyu Mtanganyika huyu Mzanzibari, Tanganyika haitakuwa salama na ndio hata Waasisi wa Tanganyika waliusia sana kuhusu kuizulumu Zanzibar.
Zanzibar ni ya kulelewa na kufanikishwa kila wanachokitaka, wanahitaji kudekezwa kwa hali na mali, ila mkiendelea kuona ni chawa basi mjue hampo salama.
Natumai mmenielewa kwa kina kwani inabidi uzamie ndio utaona uhalisia wa umuhimu wa umoja uliopo, Zanzibar ni kanchi kadogo sana, ikiwa kuna mikoa mikubwa kuliko Zanzibar, tunashindwaje kuilea Zanzibar na kuondoa kionekanacho kama kero?