Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwahiyo ungekuwa mkanda wa suruali kungekuwa na usalama!Nimesema sio mkanda wa suruali nikimaanisha hakuna usalama. Kipi huelewi. Kweli fikra zenu zipo chini namna hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ungekuwa mkanda wa suruali kungekuwa na usalama!Nimesema sio mkanda wa suruali nikimaanisha hakuna usalama. Kipi huelewi. Kweli fikra zenu zipo chini namna hiyo?
Bus la klm ndio liko wapi hapa 🙂
Kusoma hujui na picha huoni. Kizazi cha hasara hiki
Anaogopa watamdhulumu huo mkanda wa suruali.SASA BAS LINA WAHUDUMU BADALA UWAMBIE UNAKUJA LALAMIKA JF SASA UNATAKA SISI TUFANYE NINI KIONGOZI??
Huo mkanda sio kigezo cha kutokuwa salama. Umekagua tyres? Engine? Driver? Barabara?Jf inazidi kuporomoka siku hadi siku.
Yaani jamaa kutoa kero yake humu watu wanatokwa povu bila sababu za msingi.
Anawapa tahadhari nyie ndondocha hata siku nyingine usipande basi kama hilo ama lah hakikisha usalama wako kabla hujalipa nauli ama kuamua kusafiri na basi.
Mkanda ni kimojawapo ndgu yangu.Huo mkanda sio kigezo cha kutokuwa salama. Umekagua tyres? Engine? Driver? Barabara?
Ni kushauri kampuni ibadili kwa ajili ya kulinda brand maana hapo haiwez funguka hata kwa ajali gan
INABIDI WAUREKEBISHE MKUU
Pimbi wewe! Picha ni genuine nimeipiga mwenyewe. Waambie wathubutu nitume na videoHiyo kampuni ya Kilimanjaro wanaweza kuamua kukuburuta mahakamani na wakakufunga au kukufilisi wewe ukoo wenu wote maana huwezi kuthibitisha huo ujinga uliepost hapo