Tahadhari ya utapeli mpya Dar kwa sasa

Tahadhari ya utapeli mpya Dar kwa sasa

Mwaka 2014 bro alinunua gari kwa msanii mmoja mkubwa wa Bongo flevaa,,Siku walokubaliana biashara ifanyike kulikuwa na tamasha la Fiesta(kilele) DSM akamwambia baada ya shoo tu wakutane eidha usiku au asubhi sana maana saa nne anasafiri kwenda SA...basi bwana sisi asbuhi na mapema tukaenda home kwake(mimi kama shahidi)na yeye tulimkuta anaishi na msanii mwenzake(mkubwa)akawa shahidi tukafanya mauziano tukampa hela CASH kulingana na makubaliano,kadi akatupa Copy kwa madai Og ipo kwenye nyumba yake ingine ni mbali hivyo akitoka SA atatupatia..tukakubali ukizingatia ni mtu maarufu,,ebwanaa eeh ile kadi ilizingua balaa baada ya miezi minne tunagundua kumbe ile gari alikopa Bank na kuiweka kama dhamana,,baada ya kusumbuana sana bro alifanikiwa kuizua ile gari kwa mtu wa mkoani huko na kadi ile ile copy,,sijui walimalizanaje huko badae
 
Mimi pia nimenunua simu mikononi kwa mtu mbaya zaidi hata aliyeiuza simjui zaidi tu imepita mikononi kwa rafiki yangu ndie anayemjua huyo muuzaji mana alinambia ni best yake.
Niliinunua lakini nikawa naogopa mwezi unaisha sasa nilishasahau sasa mkizungumzia hizi mada napata kihoro.
Sijawahi kununua simu mikononi mwa mtu hii ndio mara yangu ya kwanza na mwisho sirudii tena.
Hela yako inakukosesha amani mana hujui mazingira ilipotoka kama imetoka kwa usalama.
Inabidi kuwa makini sana, Ila kuhusu hio Kama Hadi mwezi ulishapita nafikiri ondoa shaka tu itakuwa ni halali, alafu simu zenye mabalaa sanasana ni Samsung na iPhone.
 
Ndiyo faida yao.
Utapeli wa mabenki

Hapa ninachojiuliza ni kuwa .....Nina pesa nying kwenye account .....na hyo ni siri yangu...( kama kawaida wabongo kuficha siri kuhusu pesa zangu)
Je siku nikifariki ......benk inapeleka WAP ....fedha zanguuuu
 
Mtu hadi unatapeliwa means umejisogeza mwenyewe.

Yani kwa wabongo hao utume pesa ndio kitu kifuate watu akili sijui wanaweka wapi.
 
Mimi pia nimenunua simu mikononi kwa mtu mbaya zaidi hata aliyeiuza simjui zaidi tu imepita mikononi kwa rafiki yangu ndie anayemjua huyo muuzaji mana alinambia ni best yake.
Niliinunua lakini nikawa naogopa mwezi unaisha sasa nilishasahau sasa mkizungumzia hizi mada napata kihoro.
Sijawahi kununua simu mikononi mwa mtu hii ndio mara yangu ya kwanza na mwisho sirudii tena.
Hela yako inakukosesha amani mana hujui mazingira ilipotoka kama imetoka kwa usalama.
Nimependa hiyo quote yako ya life change the question...😃😃😃
 
Utapeli wa mabenki

Hapa ninachojiuliza ni kuwa .....Nina pesa nying kwenye account .....na hyo ni siri yangu...( kama kawaida wabongo kuficha siri kuhusu pesa zangu)
Je siku nikifariki ......benk inapeleka WAP ....fedha zanguuuu
Ndio Faida yao hiyo,Ndio maana husikii wakiongelea wakihamasisha watu lolote kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom