Mwambie ashuke hapo kipawa aulize vizuriNimepigiwa sm na dogo anatoka gongo la mboto kuja mbagala anasema uwanja wa ndege watu wanakimbia ovyo wengine wameanguka ajui Kuna nini mliopo karibu tujuzeni
Kweli kabisa chief,inasikitisha sana.ukisoma huu uzi, unaweza kukupa picha, kwa kiasi kikubwa, uwezo wa kufikiri wa sisi watz ulivyo.
Mock exerciseHuba anaigiza ray