Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upana na urefu ama unataka upana tuNdugu wadau, nilitaja kujua combination ipi kati ya PCB na PCM ukifauli inaweza kukupa uwanda mkubwa wakusoma course nzuri huko mbele za safari baada ya form six.
Asante sana.
M;MATHEMATICSNdugu wadau, nilitaja kujua combination ipi kati ya PCB na PCM ukifauli inaweza kukupa uwanda mkubwa wakusoma course nzuri huko mbele za safari baada ya form six.
Asante sana.
pcm nenda usa utanishukuru kijana mpaka kizazi chakoNdugu wadau, nilitaja kujua combination ipi kati ya PCB na PCM ukifauli inaweza kukupa uwanda mkubwa wakusoma course nzuri huko mbele za safari baada ya form six.
Asante sana.
Kwanini PCB?PCB,
Najiulaumu kusoma PCB japo niligonga one form six. Kumbe kazi za afya ndo zipo hivi za kupelekeshwa na viongozi wa CCM. Diwani wa darasa la saba ananipelesha mwenye Master's ya afya huu ujinga. Dogo komaa na PCM.Kwanini PCB?
PCM inamanufaa Gani?kwanini unashauei PCM?Najiulaumu kusoma PCB japo niligonga one form six. Kumbe kazi za afya ndo zipo hivi za kupelekeshwa na viongozi wa CCM. Diwani wa darasa la saba ananipelesha mwenye Master's ya afya huu ujinga. Dogo komaa na PCM.
Mkuu usa unaamanisha USA-Marekani au?pcm nenda usa utanishukuru kijana mpaka kizazi chako
usa river iko Arusha!!Mkuu usa unaamanisha USA-Marekani au?
So ulimaanisha kijana aende USa river sec kusoma PCM au ? Sikukuelewa hapo mwazi uliposema kija a aends Usa atakuja kukushukuru.Asante kwa ufafanuziusa river iko Arusha!!
Dunia ya Leo, imebadirika sana, unaweza ukawa umesoma HGL, HGK,na ukaweza kuchukua kozi fupi za programming, artificial intelligence, software engineering nk, cha mwingi ujue lugha vzr,Ndugu wadau, nilitaja kujua combination ipi kati ya PCB na PCM ukifauli inaweza kukupa uwanda mkubwa wakusoma course nzuri huko mbele za safari baada ya form six.
Asante sana.
Tatizo la PCM ni kwenye Ajira, huko ndo kunatakaa connection balaa.Najiulaumu kusoma PCB japo niligonga one form six. Kumbe kazi za afya ndo zipo hivi za kupelekeshwa na viongozi wa CCM. Diwani wa darasa la saba ananipelesha mwenye Master's ya afya huu ujinga. Dogo komaa na PCM.