TypingError
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 293
- 313
KwaniniPCB.
Are seriousPCB,
Tambua malengo Yako ni yapi?...,Kisha uliza je tahasusi gani itanipeleka kuwa mtu Fulani mf Daktrai, mhandisi m.kNdugu wadau, nilitaja kujua combination ipi kati ya PCB na PCM ukifauli inaweza kukupa uwanda mkubwa wakusoma course nzuri huko mbele za safari baada ya form six.
Asante sana.
Hata kozi zingine wanapelekeshwa pia.... wanasiasa ndio mabossi wenu vumilieni tuNajiulaumu kusoma PCB japo niligonga one form six. Kumbe kazi za afya ndo zipo hivi za kupelekeshwa na viongozi wa CCM. Diwani wa darasa la saba ananipelesha mwenye Master's ya afya huu ujinga. Dogo komaa na PCM.
Yeyote mwenye mtaji na nia ya kufanya hivyo anaweza fungua LibraryPCM aiseeeee
Kuna jamaa angu kasoma PCM sasa hivi jamaa ana Library yake kubwa tuu mkuu ipo mbeya mjini...
Bora PCM wakuu
Oooooh sema jamaa alizingua pcm ilimchapaYeyote mwenye mtaji na nia ya kufanya hivyo anaweza fungua Library