Tahliso kufanya maandamano ya amani mpaka kwenye ofisi ya waziri mkuu keshokutwa kushinikiza serikali kuwalipa stahili zao wanafunzi wanaofanya fpt kwenye vyuo ambavyo bado havijapata pesa hiyo.
Source; taarifa ya habari ya channel ten ya saa moja leo tarehe 13 august (sasaivi)