A
Anonymous
Guest
Tangu bodi ya mikopo imeanza kutangaza awamu za wanaufaika wa mikopo Kwa elimu ya juu imekua ikitoa takwimu na kusema awamu ya kwanza wanaufaika wa mwaka wa 1 walkuwa 56,120 na awamu ya pili walikuwa 14,428 na kufanya jumula ya wanufaida wa mwaka wa kwanza kua 70,560 lakini katika uhalisia wanafunzi wa mwaka wa 1 bado weng hawajapita mikopo na bodi imekuwa ikijificha kwenye kichaka ya kuwa wanafunzi watembelee account zao za SIPA.
Kwanini bodi istoe majina kabsa yakiwa n namba ya form 4 na form 6 Kwa direct entry na AVN Kwa diploma Ili tuwe na uhakika na takwimu lasivo n uongo mana bado weng hawajapita mikopo hiyo na pia huenda Hela zinaibiwa sana hapa na ndo mana watu hawakupata mkopo akiingia kazini anakuta anakatwa tu mkopo na akifatilia anazungushwa wanafanya hvo kulipia fedha walizoiba.
TUNAOMBA WATOE IDADI KWA MAJINA NA SIO KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA SIPA.
Kwanini bodi istoe majina kabsa yakiwa n namba ya form 4 na form 6 Kwa direct entry na AVN Kwa diploma Ili tuwe na uhakika na takwimu lasivo n uongo mana bado weng hawajapita mikopo hiyo na pia huenda Hela zinaibiwa sana hapa na ndo mana watu hawakupata mkopo akiingia kazini anakuta anakatwa tu mkopo na akifatilia anazungushwa wanafanya hvo kulipia fedha walizoiba.
TUNAOMBA WATOE IDADI KWA MAJINA NA SIO KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA SIPA.