TAHLISO wanapaswa kusimama na kupigania haki za Wanafunzi kuhusu Mikopo

Tangu bodi ya mikopo imeanza kutangaza awamu za wanaufaika wa mikopo Kwa elimu ya juu imekua ikitoa takwimu na kusema awamu ya kwanza wanaufaika wa mwaka wa 1 walkuwa 56,120 na awamu ya pili walikuwa 14,428 na kufanya jumula ya wanufaida wa mwaka wa kwanza kua 70,560 lakini katika uhalisia wanafunzi wa mwaka wa 1 bado weng hawajapita mikopo na bodi imekuwa ikijificha kwenye kichaka ya kuwa wanafunzi watembelee account zao za SIPA.

Kwanini bodi istoe majina kabsa yakiwa n namba ya form 4 na form 6 Kwa direct entry na AVN Kwa diploma Ili tuwe na uhakika na takwimu lasivo n uongo mana bado weng hawajapita mikopo hiyo na pia huenda Hela zinaibiwa sana hapa na ndo mana watu hawakupata mkopo akiingia kazini anakuta anakatwa tu mkopo na akifatilia anazungushwa wanafanya hvo kulipia fedha walizoiba.

TUNAOMBA WATOE IDADI KWA MAJINA NA SIO KUJIFICHA KWENYE KICHAKA CHA SIPA.
 
Mkuu Yani Huku vyuoni Ni shida kabisa Imagine mpaka leo tarehe 1 watu hatujapata boom , hivi iyo Ela ya kumsaidia mwanafunz unampa wiki tatu baada ya kufungua chuo , bodi ya mikopo kila mwaka changamoto Ni ile ile kuweni na huruma na watto wa Masikini , wengine wameanza kujiuza kiss boom halijaingia wengine wanaingia mtaani kufanya kazi ili wapate Hata Ela ya kula kwa siku badala ya kuingia Class Yani ila Mungu yupo asee mtalipwa kwa mnayoyatenda .Inasikitisha Sana.
 
Kuna tatizo kubwa la msingi namna serikali inavyoendesha elimu ya vyuo vikuu, wanajua shida ipo ila wanajifanya hamnazo. Ila ukisikia takwimu za ufisadi zinazotajwa na kina Mpina unabaki kuduwaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…