Tahosa ni wababaishaji

Tahosa ni wababaishaji

MWAKIGOBE

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
65
Reaction score
3
Maonyesho ya ubunifu uliofanywa na wanafunzi wa mkoa wa kilimanjaro jana ambao wanafunzi walionyesha vitumbalimbali walivyo buni ambapo shule ya same iliibuka wa kwanza kwa kuonyesha mashine ya kiuchuja maji, nafasi ya pioli ilienda greenbird kutoka mwanga hawa walitengeneza dawa ya mmbu, ya tatu ilienda moshi vijijini. Maonyesho haya yalikuwa mazuri, ila wanafunzi na walimu wao walipewa nauli tu, hata chakula hawakupewa, hii inawakatisha tamaa sana wanafunzi wetu.
 
Maonyesho ya ubunifu uliofanywa na wanafunzi wa mkoa wa kilimanjaro jana ambao wanafunzi walionyesha vitumbalimbali walivyo buni ambapo shule ya same iliibuka wa kwanza kwa kuonyesha mashine ya kiuchuja maji, nafasi ya pioli ilienda greenbird kutoka mwanga hawa walitengeneza dawa ya mmbu, ya tatu ilienda moshi vijijini. Maonyesho haya yalikuwa mazuri, ila wanafunzi na walimu wao walipewa nauli tu, hata chakula hawakupewa, hii inawakatisha tamaa sana wanafunzi wetu.
Tatizo lenu Walimu wetu wengi hamjui stahili zenu na ndio maana mnapunjwa
 
Maonyesho ya ubunifu uliofanywa na wanafunzi wa mkoa wa kilimanjaro jana ambao wanafunzi walionyesha vitumbalimbali walivyo buni ambapo shule ya same iliibuka wa kwanza kwa kuonyesha mashine ya kiuchuja maji, nafasi ya pioli ilienda greenbird kutoka mwanga hawa walitengeneza dawa ya mmbu, ya tatu ilienda moshi vijijini. Maonyesho haya yalikuwa mazuri, ila wanafunzi na walimu wao walipewa nauli tu, hata chakula hawakupewa, hii inawakatisha tamaa sana wanafunzi wetu.
Vipi kaka lengo lilikuwa msosi nini? Maana nakujua wewe.
 
Waiandaa shindano harakaharaka wakasahau mahitaji muhimu mengine
 
Back
Top Bottom