sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,687
- 1,111
Ukweli utabaki hivyo,tuna tatizo kubwa kwenye vipaumbele vya taifa,hatujui nini tunataka na wakati gani tunahitaji hicho tunachokitaka.
Madhara yake ni nchi kuendesha kama biashara ya daladala, kondakta ana nguvu kuliko dereva kwa kuwa tu ndiye mshika fedha.
Kipau mbele cha serikali hakikidhi bajeti angalau kwa 10%. Bajeti yenyewe ya serikali mpaka ina maliza mwaka haifiki 60%,lakini watu wanakaa mjengoni wanabariki ukanjanja huu na business as usual.
Commitment ya kuitumikia nchi hii ni fumbo la imani ndo maana kufika Canaan itatugaharimu muda sana kwa kuwa suala hili ni mindset. Database yake imejaa ubinafsi na upigaji wa kiwango cha juu sana.
Madhara yake ni nchi kuendesha kama biashara ya daladala, kondakta ana nguvu kuliko dereva kwa kuwa tu ndiye mshika fedha.
Kipau mbele cha serikali hakikidhi bajeti angalau kwa 10%. Bajeti yenyewe ya serikali mpaka ina maliza mwaka haifiki 60%,lakini watu wanakaa mjengoni wanabariki ukanjanja huu na business as usual.
Commitment ya kuitumikia nchi hii ni fumbo la imani ndo maana kufika Canaan itatugaharimu muda sana kwa kuwa suala hili ni mindset. Database yake imejaa ubinafsi na upigaji wa kiwango cha juu sana.