Taifa halina vipaumbele, linaendeshwa kama biashara ya daladala

Taifa halina vipaumbele, linaendeshwa kama biashara ya daladala

Hapana, jpm alikuwa na vitu maalum na ndiomaana baadhi ya wizara zilipewa %200 ya bajeti, jpm akiamua kufanya kitu kinafanyika, kama umesema nitamaliza kwa miezi 18 basi hakikisha ndani ya hiyo miezi 18 unakabidhi mradi, tofauti na sasa hakieleweki kipini kipi, mfano tuliambiwa tozo zinaenda kumaliza tatizo la wanafunzi vyuo vikuu kukosa mikopo je tatizo limeisha?
Tatizo samia amwteua watu ambao wamemzidi ujanja kiasi kwamba anashindwa hata kuwaondoa wanapobolonga.
 
Mbaya hata hao watunga sera waneshindwa kujua tusimamie wapi, commitment ni zero,tunasongaje mbele.

Imagine kila mwaka wa serikali,serikali inaleta budget ya barabara zisizo kwisha,matokeo yake kabla barabara haijakabidhiwa inaanza kuzibwa viraka
Ni kweli nchi yetu ina matatizo mengi, na sisi ni Watanzania, ukiweza kusaidia popote, kwa namna yoyote, saidia.
P
 
Tatizo samia amwteua watu ambao wamemzidi ujanja kiasi kwamba anashindwa hata kuwaondoa wanapobolonga.
Tatizo si Samia tu,tatizo mfumo umeruhusu hii hali. Ziko projects kubwa zilizokuja na kauli mbiu leo ziko wapi,nani anakumbuka KILIMO KWANZA,Wamarekani walivutiwa sana na proposal hiyo, implementation ikawa zero targeted area zikawa deals zone,fedha ikaliwa mpk leo hakuna anataka kujua wala kuulizia kifo cha project hiyo.
 
Ni kweli nchi yetu ina matatizo mengi, na sisi ni Watanzania, ukiweza kusaidia popote, kwa namna yoyote, saidia.
P

Nchi ina matatizo mengi na wananchi wenyewe ni tatizo kubwa kwahivo mambo yanachanganyana
 
Ukweli utabaki hivyo,tuna tatizo kubwa kwenye vipaumbele vya taifa,hatujui nini tunataka na wakati gani tunahitaji hicho tunachokitaka.

Madhara yake ni nchi kuendesha kama biashara ya daladala, kondakta ana nguvu kuliko dereva kwa kuwa tu ndiye mshika fedha.

Kipau mbele cha serikali hakikidhi bajeti angalau kwa 10%. Bajeti yenyewe ya serikali mpaka ina maliza mwaka haifiki 60%,lakini watu wanakaa mjengoni wanabariki ukanjanja huu na business as usual.

Commitment ya kuitumikia nchi hii ni fumbo la imani ndo maana kufika Canaan itatugaharimu muda sana kwa kuwa suala hili ni mindset. Database yake imejaa ubinafsi na upigaji wa kiwango cha juu sana.
Mjumbe hauwawi!
 
Ndani ya siku chache zijazo Chato itatambuliwa kama mkoa, ikiwa ni pamoja na kuendeleza miradi iliyokuwa imemsimamishwa huko.

Hii sio ramli.
Mzee wa Chato kashakufa na lake halipo...sasa hivi ni timu msoga imeshika hatamu ndugu...upo?

Natafuta urafiki na Nape / January ila bado sijafanikiwa.
 
Mzee wa Chato kashakufa na lake halipo...sasa hivi ni timu msoga imeshika hatamu ndugu...upo?

Natafuta urafiki na Nape / January ila bado sijafanikiwa.

Sipo hapa kuparurana nimeeleza tu kile kilichopo jikoni, Chato itatangazwa kuwa mkoa siku si nyingi.
 
Sipo hapa kuparurana nimeeleza tu kile kilichopo jikoni, Chato itatangazwa kuwa mkoa siku si nyingi.
Jambo hili lilikuwa on process kabla mwendazake hajaondoka,na wazee wa Chato walimuomba rais mteule asiachie jambo hili njiani
 
Back
Top Bottom