Taifa la Barbados limeamua kumuondoa Malkia Elizabeth II wa UK kama kiongozi wa juu wa taifa hilo

Taifa la Barbados limeamua kumuondoa Malkia Elizabeth II wa UK kama kiongozi wa juu wa taifa hilo

.... kwani walipokuwa chini ya UK ni uhuru gani waliukosa? Malkia si alikuwa cheo tu cha heshima kisicho na mamlaka ya ku-enforce chochote kiutendaji?

Wanaona kama bado wanatawaliwa ingawa bado wana umasikini wa kutupa
Hapo sijui ni uhuru gani wanaoutaka
 
Back
Top Bottom