Taifa la Israel ni msingi wa Kanisa

Taifa la Israel ni msingi wa Kanisa

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi.

Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo.

Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la YUDAH.

Kutokana na huyo mtoto, Yesu alizaliwa kwenye huo ukoo. (Ndiyo maana anaitwa Simba wa Yudah).

Sasa ukristo umejengwa na huyo Yesu. Sisi Tuliomuamini tumeunganishwa humo. Wote tuliompokea kwa njia ya imani ni watoto wa Mungu. Yohana 1:12.

Ukiyenda mbinguni ni hivyo. Mbingu imejengwa juu ya msingi wa Israel. Mji wa Jerusalem Una misingi 12 iliyoandikwa majina 12 ya wanafunzi wa Yesu.

Kwa sasahivi, wa Israel wamefungwa kwa muda, Ila hapo mbele Watafunuliwa na tutaungana nao. (Warumi 11:25-28).
 
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi.

Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo.

Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la YUDAH.

Kutokana na huyo mtoto, Yesu alizaliwa kwenye huo ukoo. (Ndiyo maana anaitwa Simba wa Yudah).

Sasa ukristo umejengwa na huyo Yesu. Sisi Tuliomuamini tumeunganishwa humo. Wote tuliompokea kwa njia ya imani ni watoto wa Mungu. Yohana 1:12.

Ukiyenda mbinguni ni hivyo. Mbingu imejengwa juu ya msingi wa Israel. Mji wa Jerusalem Una misingi 12 iliyoandikwa majina 12 ya wanafunzi wa Yesu.

Kwa sasahivi, wa Israel wamefungwa kwa muda, Ila hapo mbele Watafunuliwa na tutaungana nao. (Warumi 11:25-28).
Hizi hekaya za kuutukuza Uyahudi zimwadumaza sana Waafrika
 
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi.

Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo.

Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la YUDAH.

Kutokana na huyo mtoto, Yesu alizaliwa kwenye huo ukoo. (Ndiyo maana anaitwa Simba wa Yudah).

Sasa ukristo umejengwa na huyo Yesu. Sisi Tuliomuamini tumeunganishwa humo. Wote tuliompokea kwa njia ya imani ni watoto wa Mungu. Yohana 1:12.

Ukiyenda mbinguni ni hivyo. Mbingu imejengwa juu ya msingi wa Israel. Mji wa Jerusalem Una misingi 12 iliyoandikwa majina 12 ya wanafunzi wa Yesu.

Kwa sasahivi, wa Israel wamefungwa kwa muda, Ila hapo mbele Watafunuliwa na tutaungana nao. (Warumi 11:25-28).
Taifa la Israel ndio chanzo cha Ukristo au dini ya 'kiyahudi' ndio chanzo cha Ukristo?

DR Mambo Jambo zitto junior Rabbon Mathanzua Yesu Anakuja
 
Taifa la Israel ndio chanzo cha Ukristo au dini ya 'kiyahudi' ndio chanzo cha Ukristo?

DR Mambo Jambo zitto junior Rabbon Mathanzua Yesu Anakuja
Mmm,Taifa la Israel as we know it haliwezi kuwa chanzo cha Kanisa kwa kuwa it is a fairly very recent creation.The nation of Israel was created in 1948 by the Balfour Declaration facilitated by the Rothschild's.Sasa akina Rothschild hawawezi kuhusika na Taifa ambalo ni la Kikristo kwa kuwa wao wenyewe ni a satanic crime syndicate.

The Church as we know it today started with Jesus's Ministry around 33 AD,it has nothing to do with the present day Israel.As I have said,Israel is a very Satanic entity,and cannot in any way be associated with the Church.The Church has always been different from Israel as a state since the Roman Empire.
 
Hii ni elimu ya juu Sana. Kama uelewa wako ni mdogo, utabaki kupolomosha matusi.

Taifa LA Israel limejengwa juu ya watoto 12 wa Yakobo.

Miongoni mwa wale watoto, alikuwepo mtoto kwa jina la YUDAH.

Kutokana na huyo mtoto, Yesu alizaliwa kwenye huo ukoo. (Ndiyo maana anaitwa Simba wa Yudah).

Sasa ukristo umejengwa na huyo Yesu. Sisi Tuliomuamini tumeunganishwa humo. Wote tuliompokea kwa njia ya imani ni watoto wa Mungu. Yohana 1:12.

Ukiyenda mbinguni ni hivyo. Mbingu imejengwa juu ya msingi wa Israel. Mji wa Jerusalem Una misingi 12 iliyoandikwa majina 12 ya wanafunzi wa Yesu.

Kwa sasahivi, wa Israel wamefungwa kwa muda, Ila hapo mbele Watafunuliwa na tutaungana nao. (Warumi 11:25-28).
Kweli kabisa ubarikiwe, Mungu akikufungua ufahamu utamuelewa mwandishi alichopost Hila shetani akikufungua ufahamu hutamwelewa na utampinga.
 
Hizi hekaya za kuutukuza Uyahudi zimwadumaza sana Waafrika
Agano la Mungu na taifa la israel halijabadilika hilo ni taifa teule

Zaburi 122:6-7
[6]Utakieni Yerusalemu amani;
Na wafanikiwe wakupendao;

[7]Amani na ikae ndani ya kuta zako,
Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

Wagalatia 3:29
[29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
 
Agano la Mungu na taifa la israel halijabadilika hilo ni taifa teule

Zaburi 122:6-7
[6]Utakieni Yerusalemu amani;
Na wafanikiwe wakupendao;

[7]Amani na ikae ndani ya kuta zako,
Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

Wagalatia 3:29
[29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Kwenye mistari hii wapi pameandikwa utukuzeni Uyahudi na makabila ya Israeli?? Na vipi kuhusu Unabii wa Yesu kwamba Ufalme umeondolewa Kwa Wayahudi na kupewa Mataifa mengine yenye kuzaa matunda?

Unaona wanachokifanya Wazayuni pale Gaza na kote Mashariki ya kati Bado kinawapa sifa hiyo??

Umeshawahi kuona Makanisa asili na waanzilishi wa Ukristo akina Orthodox na Roman Catholic wakiwashibikea hao Wazayuni na Yerusalemu yao??
 
AKILI YAKO NDOGO KAMA UKUBWA WA KARANGA NGUMU KUELEWA HAYA MAMBO
Mmm,Taifa la Israel as we know it haliwezi kuwa chanzo cha Kanisa kwa kuwa it is a fairly very recent creation.The nation of Israel was created in 1948 by the Balfour Declaration facilitated by the Rothschild's.Sasa akina Rothschild hawawezi kuhusika na Taifa ambalo ni la Kikristo kwa kuwa wao wenyewe ni a satanic crime syndicate.

The Church as we know it today started with Jesus's Ministry around 33 AD,it has nothing to do with the present day Israel.As I have said,Israel is a very Satanic entity,and cannot in any way be associated with the Church.The Church has always been different from Israel as a state since the Roman Empire.
 
Mjihadhari wakati wa kuungana na hao 'taifa teule' coz kuna mapunga wengi sana. Wasije kuwaharibu
 
Waisreali hawataki mchezo, walimtundika mungu kwenye msalaba.....

1733852407260.png
 
Mmm,Taifa la Israel as we know it haliwezi kuwa chanzo cha Kanisa kwa kuwa it is a fairly very recent creation.The nation of Israel was created in 1948 by the Balfour Declaration facilitated by the Rothschild's.Sasa akina Rothschild hawawezi kuhusika na Taifa ambalo ni la Kikristo kwa kuwa wao wenyewe ni a satanic crime syndicate.

The Church as we know it today started with Jesus's Ministry around 33 AD,it has nothing to do with the present day Israel.As I have said,Israel is a very Satanic entity,and cannot in any way be associated with the Church.The Church has always been different from Israel as a state since the Roman Empire.
U may be right,

Bt usisahau jambo hili kuwa,

Kuna Jiji Moja pekee ambalo linapatikana Mbinguni pia,

Jiji Hilo ni Jerusalem!

Na Israel ni Jina la Taifa na LA mtu aliyeitwa Israel/Jackob wakati huo huo.

Cc Proved
 
U may be right,

Bt usisahau jambo hili kuwa,

Kuna Jiji Moja pekee ambalo linapatikana Mbinguni pia,

Jiji Hilo ni Jerusalem!

Na Israel ni Jina la Taifa na LA mtu aliyeitwa Israel/Jackob wakati huo huo.

Cc Proved
Sio Yerusalem mkuu,ni Yerusalem Mpya.Huu ndio mji ambao Bwana Yesu amekwenda kutuandalia.Una andaliwa Mbinguni,lakini utashuka katika Mbingu Mpya na nchi mpya.Hayo ndiyo yatakayo kuwa makao yetu pamoja na Mungu milele(Ufunuo wa Yohana 21:2-3).Sisi makao yetu sio Mbinguni,makao yetu ni Yerusalem Mpya.Mbinguni ni makao ya Mungu kwa sasa.
 
Sio Yerusalem mkuu,ni Yerusalem Mpya.Huu ndio mji ambao Bwana Yesu amekwenda kutuandalia.Una andaliwa Mbinguni,lakini utashuka katika Mbingu Mpya na nchi.Hayo ndiyo yatakayo kuwa makao yetu pamoja na Mungu milele(Ufunuo wa Yohana 21:2-3).Sisi makao yetu sio Mbinguni,makao yetu ni Yerusalem Mpya.Mbinguni ni makao ya Mungu kwa sasa.
Unaandaliwa,

Maana yake upo.
 
Utakua mlokole wewe! Watu mnatumia hisia sana kuliko akili. Mungu mwenyewe atakuwa anasikitika sana jinsi baadhi ya watu wake hamna maarifa
 
Back
Top Bottom