Taifa la waliokata tamaa, Dawa yake ni nini?

Taifa la waliokata tamaa, Dawa yake ni nini?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Mpaka hapa tulipo kama nchi, tumetoka mbali sana!
Tumepitishwa jangwani sisi, kwenye miiba na mbigili tumepitishwa,

Tumepita kwenye machungu makali na kisha viongozi wetu badala ya kutengeneza vijana na watumishi waadirifu, wamejikuta wakitengeneza vijana wezi, watumishi wa umma mafisadi na Taifa la watu waliokata tamaa kabisa na kesho yao

Sababu moja wapo ni viongozi kuwa majizi na mafisadi huku wao wakiwahimiza waliochini yao wawe waadirifu mpaka kufa ili hali wakiwaona viongozi wao wanavyojichotea mabilioni ya mapesa na kutengeneza ufalume wao wa ki anasa hapa duniani

Hiyo imekuwa ni ambukizo baya sana kiasi ambacho hata wale viongozi tuliodhani wako sahihi katika kuliongoza Taifa letu bado wananchi na hasa watumishi wa umma, wamekuwa wakitupia lawama kwa viongozi hao na ukiangalia kwa undani, ni kuwa tu pengine imetokea kubanwa mianya ya ufujaji wa pesa za Wananchi

Tumeshuhudia aina mbalimbali ya viongozi na jinsi ambavyo viongozi hao wamekuwa wakiweka mikakati mbali mbali katika kulinasua Taifa letu ili kuondokana na umasikini uliopo

Lakini kila tulipopata kiongozi, sauti kubwa imekuwa ikisikka kuwa, HATOSHI NA HAFAI kwa kuwa huyu ni dhaifu, huyu ni mshamba na huyu ni hivi na vile!

Kama mtanzania, matamanio yako ni kupata kiongozi yupi na afanye nini ili pengine moyo wako utasema, This is the leader we will travel with to bring us the promised land


Kinachosikitisha zaidi, jamii pia ilishawakatia tamaa hata wapinzani, wakiwaona ni wale wale na hawatabadirisha chochote zaidi ya kujibadisha wao na maisha yao

Taifa la watu waliokata tamaa! Dawa yake nini?

Viongozi nao walishakata tamaa, hawana mawazo mapya, hawana uwezo wowote wa kuwatoa wananchi kwenye mtanzuko huu wa maisha duni na kukata tamaa, badala yake wamebaki kujisifia wasivyovianzisha wakati huohuo wakiviita ni miradi ya kukurupuka!
 
Kinachosikitisha zaidi, jamii pia ilishawakatia tamaa hata wapinzani, wakiwaona ni wale wale na hawatabadirisha chochote zaidi ya kujibadisha wao na maisha yao
Tena hawa ndio ovyo kabisa. Kuna hiki chama walipewa mil 100 na Sabodo wajenge ofisi, hawakutafuta hata kiwanja, pesa yote wakakula. Wakapewa mil 900(?) Kwa ajili ya mradi wa kuchimba visima vijijini, pesa wakala, na hawakuchimba kisima hata kimoja! Watu kama hao kweli ndio tuwategemee watukomboe na kuleta mabadiliko?
Dawa ni sisi wenyewe wananchi kuamka toka usingizini na kuanza kujiletea maendeleo yetu wenyewe, kwanza binafsi, na baadae maendeleo ya jamii nzima.
 
Inasikitisha hali ni duni.
 

Attachments

  • Naomi.jpg
    Naomi.jpg
    104.3 KB · Views: 3
Mpaka hapa tulipo kama nchi, tumetoka mbali sana!
Tumepitishwa jangwani sisi, kwenye miiba na mbigili tumepitishwa,

Tumepita kwenye machungu makali na kisha viongozi wetu badala ya kutengeneza vijana na watumishi waadirifu, wamejikuta wakitengeneza vijana wezi, watumishi wa umma mafisadi na Taifa la watu waliokata tamaa kabisa na kesho yao

Sababu moja wapo ni viongozi kuwa majizi na mafisadi huku wao wakiwahimiza waliochini yao wawe waadirifu mpaka kufa ili hali wakiwaona viongozi wao wanavyojichotea mabilioni ya mapesa na kutengeneza ufalume wao wa ki anasa hapa duniani

Hiyo imekuwa ni ambukizo baya sana kiasi ambacho hata wale viongozi tuliodhani wako sahihi katika kuliongoza Taifa letu bado wananchi na hasa watumishi wa umma, wamekuwa wakitupia lawama kwa viongozi hao na ukiangalia kwa undani, ni kuwa tu pengine imetokea kubanwa mianya ya ufujaji wa pesa za Wananchi

Tumeshuhudia aina mbalimbali ya viongozi na jinsi ambavyo viongozi hao wamekuwa wakiweka mikakati mbali mbali katika kulinasua Taifa letu ili kuondokana na umasikini uliopo

Lakini kila tulipopata kiongozi, sauti kubwa imekuwa ikisikka kuwa, HATOSHI NA HAFAI kwa kuwa huyu ni dhaifu, huyu ni mshamba na huyu ni hivi na vile!

Kama mtanzania, matamanio yako ni kupata kiongozi yupi na afanye nini ili pengine moyo wako utasema, This is the leader we will travel with to bring us the promised land


Kinachosikitisha zaidi, jamii pia ilishawakatia tamaa hata wapinzani, wakiwaona ni wale wale na hawatabadirisha chochote zaidi ya kujibadisha wao na maisha yao

Taifa la watu waliokata tamaa! Dawa yake nini?

Viongozi nao walishakata tamaa, hawana mawazo mapya, hawana uwezo wowote wa kuwatoa wananchi kwenye mtanzuko huu wa maisha duni na kukata tamaa, badala yake wamebaki kujisifia wasivyovianzisha wakati huohuo wakiviita ni miradi ya kukurupuka!
Wakatwe tuu
 
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them ....unless your doing The same thing in the same way expecting different results.

If you want to gain wealth without working for it at all ..join African politics!

Eat more blood glass is the slogan that can sweet me!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Tena hawa ndio ovyo kabisa. Kuna hiki chama walipewa mil 100 na Sabodo wajenge ofisi, hawakutafuta hata kiwanja, pesa yote wakakula. Wakapewa mil 900(?) Kwa ajili ya mradi wa kuchimba visima vijijini, pesa wakala, na hawakuchimba kisima hata kimoja! Watu kama hao kweli ndio tuwategemee watukomboe na kuleta mabadiliko?
Dawa ni sisi wenyewe wananchi kuamka toka usingizini na kuanza kujiletea maendeleo yetu wenyewe, kwanza binafsi, na baadae maendeleo ya jamii nzima.
Hela za Sabodo ila wewe umekaza kiuno zinakuuma.Ulichangia silingi zinga?
 
Tatizo la Africa halipo kwenye ardhi yake au natural resources zake tatizo la Africa limekaliwa na kiumbe asie na akili yaani ni kwamba kuanza individual level family level mpaka national level kumejaa watu wenye upungufu wa akili na tabia kubwa ya mtu mwenye akili ndogo ni
1.Ulalamishi
2.Uvivu ambao unazaa wizi ndo maana mtu anapata kazi TRA anawaza apangiwe bandarini
3.Kupenda short cut kwa sababu long cut kuonekana ni ngumu kwa mtu mwenye akili ndogo
4.kuwa mnyama
5.Kupenda starehe kuliko kazi
UFUMBUZI WA MATATIZO YA AFRICA HAUWEZI KUPATIKANA KWA SABABU TUNA WALAKINI YA AKILI TANGU KUUMBWA KWETU NA MBAYA ZAIDI TUNAOA NA KUZALIANA WENYEWE KWA WENYEWE KUENDELEZA KIZAZI CHA MATAHIRA
 
Kuna Watu wa manunuzi na wahandisi kila ofisi ya umma ogopa sana hao watu ni mchwa hatari sana serikalini!

Viongozi si wa kulaumu wao husaini tu ila hao jamaa ndio wapishi na injini ya wizi. Halafu ukiongea nao kama watu vile huwa hawana aibu kabisa hata wakati mwingine bila aibu hutetea miradi ya kijinga na ya kifisadi tena kwa kutoa hoja za kijinga!

Ukiwabana hao watu wasiandike madokezo ya kifisadi nchi yako just in one year inaweza kutunishiana misuli ya kiuchumi na China au USA!
 
Mpaka hapa tulipo kama nchi, tumetoka mbali sana!
Tumepitishwa jangwani sisi, kwenye miiba na mbigili tumepitishwa,

Tumepita kwenye machungu makali na kisha viongozi wetu badala ya kutengeneza vijana na watumishi waadirifu, wamejikuta wakitengeneza vijana wezi, watumishi wa umma mafisadi na Taifa la watu waliokata tamaa kabisa na kesho yao

Sababu moja wapo ni viongozi kuwa majizi na mafisadi huku wao wakiwahimiza waliochini yao wawe waadirifu mpaka kufa ili hali wakiwaona viongozi wao wanavyojichotea mabilioni ya mapesa na kutengeneza ufalume wao wa ki anasa hapa duniani

Hiyo imekuwa ni ambukizo baya sana kiasi ambacho hata wale viongozi tuliodhani wako sahihi katika kuliongoza Taifa letu bado wananchi na hasa watumishi wa umma, wamekuwa wakitupia lawama kwa viongozi hao na ukiangalia kwa undani, ni kuwa tu pengine imetokea kubanwa mianya ya ufujaji wa pesa za Wananchi

Tumeshuhudia aina mbalimbali ya viongozi na jinsi ambavyo viongozi hao wamekuwa wakiweka mikakati mbali mbali katika kulinasua Taifa letu ili kuondokana na umasikini uliopo

Lakini kila tulipopata kiongozi, sauti kubwa imekuwa ikisikka kuwa, HATOSHI NA HAFAI kwa kuwa huyu ni dhaifu, huyu ni mshamba na huyu ni hivi na vile!

Kama mtanzania, matamanio yako ni kupata kiongozi yupi na afanye nini ili pengine moyo wako utasema, This is the leader we will travel with to bring us the promised land


Kinachosikitisha zaidi, jamii pia ilishawakatia tamaa hata wapinzani, wakiwaona ni wale wale na hawatabadirisha chochote zaidi ya kujibadisha wao na maisha yao

Taifa la watu waliokata tamaa! Dawa yake nini?

Viongozi nao walishakata tamaa, hawana mawazo mapya, hawana uwezo wowote wa kuwatoa wananchi kwenye mtanzuko huu wa maisha duni na kukata tamaa, badala yake wamebaki kujisifia wasivyovianzisha wakati huohuo wakiviita ni miradi ya kukurupuka!
NCHI inapokuwa na VIONGOZI MASIKINI
Lazima viongozi hao nawapo MADARAKANI wafanye WIZI UBADHILIFU na kutengeneza TAIFA la KUNDI hilo.NCHI haina miiko ya VIONGOZI lazima Vitendo hivyo viendelee kuweni kizazi na kizazi hiyo ndio TANZANIA
 
Tatizo la Africa halipo kwenye ardhi yake au natural resources zake tatizo la Africa limekaliwa na kiumbe asie na akili yaani ni kwamba kuanza individual level family level mpaka national level kumejaa watu wenye upungufu wa akili na tabia kubwa ya mtu mwenye akili ndogo ni
1.Ulalamishi
2.Uvivu ambao unazaa wizi ndo maana mtu anapata kazi TRA anawaza apangiwe bandarini
3.Kupenda short cut kwa sababu long cut kuonekana ni ngumu kwa mtu mwenye akili ndogo
4.kuwa mnyama
5.Kupenda starehe kuliko kazi
UFUMBUZI WA MATATIZO YA AFRICA HAUWEZI KUPATIKANA KWA SABABU TUNA WALAKINI YA AKILI TANGU KUUMBWA KWETU NA MBAYA ZAIDI TUNAOA NA KUZALIANA WENYEWE KWA WENYEWE KUENDELEZA KIZAZI CHA MATAHIRA
Ukitaka kujua viongozi weusi hawana akili panda ndege kwenda ulaya basi ukiwa kwenye Mwewe mtaambiwa mfunge mikanda utaangalia nje kwenu kwenye vumbi na harufu kali!

Mwewe ataenda spidi na kupaa , humo ndani Bata zitaendelea, utakula na kunywa na kusinzia, mara ghafla ukiwa unaota unakimbizwa na shetani kwenye sherehe ya kitchen party huko Buza kwa Mpalanger mara ghafla utaamshwa na kuambiwa ukae sawa na kufunga mkanda maana mnakaribia kutua ukicheki nje mf Amsterdam utaona Jiji zuri na safi na sasa utakumbuka jinsi kwenu mlivyo maskini , wachafu na wajinga!

Binafsi naamini Aircraft ni technology ya kipekee sana, mzungu akili mingi sana!

Mtu mweusi atabaki mjinga tu milele na milele kama viongozi wake weusi wataendeleza kizazi cha wajinga kwa kuongoza nchi kijinga!
 
Back
Top Bottom