Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Tuko kwenye "Shamba la Wanyama" - "The animal farm".Biashara za Wananchi zimekufa, Wafanyabiashara wengi wamekata tamaa. Mzunguko wa pesa umedumaa, masoko yamesimama.
Watumishi wa Umma hawana uhakika juu ya nyongeza ya mishahara, miaka mitano wamepigwa kimya.
Wakulima wanalima, wakivuna soko la ndani halina bei, wanaambulia kupata chakula cha kushibisha matumbo yao.
Wanasiasa hawana usemi,atakalo sema mkuu ndio hilo litekelezwe hata kama halina tija. Wakitoa ushauri mzuri wanatumbuliwa.
Maccm hayasikii mpaka damu itoke masikioni.Tumeikabidhi nchi kwa Mfalme....Hasikii,haoni wala kujali vilio vya wanae,yupo busy anakoroga zege na kutandaza lami.Hatusemi kuwa hatuhitaji vyote hivyo Bali hatujaweka vipaumbele vya kununua saruji badala ya unga tukiwa na njaa.Maisha hayasimami na tunayaishi kila Siku.
CCM, turejesheeni Tanzania yetu mliyojimilikisha kupitia Katiba ambayo hamtaki tuiboreshe/tuibadilishe ili tujitawale tunavyoona inafaa baada ya makubaliano.
Na LodilofaWakulaumiwa ni JK
Nawashangaa mnaosema watu hawapandishwi mishahara wakati madaraja wanapanda na juzi tu hapa jirani yangu kapanda!
Kapanda daraja la Kijazi ama la Mfugale?
Jirani anapanda mshahara anatangaza? Labda kapanda basi.Nawashangaa mnaosema watu hawapandishwi mishahara wakati madaraja wanapanda na juzi tu hapa jirani yangu kapanda!
Shoga kama wewe kudandia mada wanaume unataka nini?Endelea kulialia humu wenzako mwendo mdundo, na Kama ni wa kiume unakaribia kuolewa.
Ukilala ukiamka unalialia tu, pole sana
ninyi ni huruma ipi mnayoitaka toka kwake?, au mnataka akawapikie?Kiongozi gani hana huruma na raia anaowaongoza!
Uzaliwe Ndebile uwe na akili?Maisha tunayoishi sasahivi ndiyo maisha HALISI ya Tanzania.....hapo kabla tulikuwa tunaishi fake fake..kama mdada aliyeboost maziwa, akivua sidilia ndio sasa hivi tunavyoishi.
Enzi zile uongozi wa mtaa unakaa kikao kujadili mbinu za kuwazuia vijana kucheza pool table tangu asubuhi hadi jioni, mbona sasa hivi wameacha wenyewe, njaa mbaya Sana! Eti vijana wanakaa njia panda kuwashambulia wanawake wanaovaa nguo zisizo na stala...hahaha wako wapi sasa? Njaa imewakimbiza, wengine wameamua kugombania wanaume na dada zao...na bado wa mjini msio na kazi mtarudi huku kijijini tulime pamoja.
Viva JPM "ama kweli TUMEJIPANGA"
Bora usingepost huu uharo.ninyi ni huruma ipi mnayoitaka toka kwake?, au mnataka akawapikie?
Endelea kulialia humu wenzako mwendo mdundo, na Kama ni wa kiume unakaribia kuolewa.
Ukilala ukiamka unalialia tu, pole sana
Duh, hili bwege huna haja ya kulitukana hivi.Ww lazima utambe maana ni mchepuko wa jiwe.
Sina sababu ya kupoteza muda wako, endelea kulalamika. Una shida kwenye fikra.Wewe bwege unaweza kuta hata mlo moja tabu kwako.