Taifa la waliokata tamaa maisha, ila hakuna namna mpaka mitano ikatike

Tuko kwenye "Shamba la Wanyama" - "The animal farm".
 
Maccm hayasikii mpaka damu itoke masikioni.
 
kazi ipo kweli kweli maana si kitoto kuna mtumishi wa Mungu aliwahi kusema walioshinda hawana furaha walioshindwa hawana furaha watu wote hawana furaha ila kikundi cha wahuni wachache tu ambao wameshika akili za watu. Nyerere alisema ukiona watu wanakusifiasifia sijui we Mungu sijui we Malaika waogope kama ukoma maana hapo sio wao ni matumbo kwasababu kuna faida wanapata kutokana na uwepo wako
 
Nawashangaa mnaosema watu hawapandishwi mishahara wakati madaraja wanapanda na juzi tu hapa jirani yangu kapanda!
 
Msoto mwanzo mwisho atatoka dikteta anaingia dikteta.Dikteta ni kiumbe kinachotazama maisha yake tu hata kama Jamii itaozea kwenye ufukara sio jukumu lake, kumbuka dikteta apendi watu smart bali dhaifu
 
Maisha tunayoishi sasahivi ndiyo maisha HALISI ya Tanzania.....hapo kabla tulikuwa tunaishi fake fake..kama mdada aliyeboost maziwa, akivua sidilia ndio sasa hivi tunavyoishi.
Enzi zile uongozi wa mtaa unakaa kikao kujadili mbinu za kuwazuia vijana kucheza pool table tangu asubuhi hadi jioni, mbona sasa hivi wameacha wenyewe, njaa mbaya Sana! Eti vijana wanakaa njia panda kuwashambulia wanawake wanaovaa nguo zisizo na stala...hahaha wako wapi sasa? Njaa imewakimbiza, wengine wameamua kugombania wanaume na dada zao...na bado wa mjini msio na kazi mtarudi huku kijijini tulime pamoja.
Viva JPM "ama kweli TUMEJIPANGA"
 
Uzaliwe Ndebile uwe na akili?
 
Endelea kulialia humu wenzako mwendo mdundo, na Kama ni wa kiume unakaribia kuolewa.
Ukilala ukiamka unalialia tu, pole sana

Ww lazima utambe maana ni mchepuko wa jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…