Taifa la washabikia uzinzi - Tanzania

(Nimesikitika sana msanii wa filamu za mahusiano na mapenzi anakufa kwa kuteswa na wivu wa mapenzi tena kwa katoto ,i thought he was a Badass!)
don say a ward about love my friend! sababu yawezekana kabisa wanao yaongea na kuyaonyesha wazi wazi wakawa hawayajui kabisaaaa,na walio kimya na wasio na makeke wakawa walimu.
pray for kanumba, mungu amuwekwe pema peponi , pray for the girly asije pata msongo wa mawazo
ORIGINAL
FRO MUISLAMSAFI
 
Sasa sijui niseme ni Umaarufu au Ndo Show up za kisiasa mwanawaneee...maana kwa jinsi viongozi walivyohudhuria msiba huu inaleta doubt! Si vibaya Kuhudhuria ila natafakari wandugu....Hivi OBAMA alihudhuria ule msiba wa Witney Huston???
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Uhuru wa mawazo,wanaojenga chuki ni wale wanaoshindwa kuvumilia mawazo ya watu wengine.Huo ni mtazamo tu,so hatutakiwi kujenga chuki isitoshe Presda ameguswa sana mpaka kutoa rambi rambi ya mil.10.Tusubiri kweny msiba wa General Kyaro atatoa kiasi gani
 
Freemasons wamemwagiana hela! Mkulu ana cheo chochote kwenye hili chama? Pole yao! Hivi Knmb amezikwa kwa imani ya kanisa gani?
 
Lets call a square a square and a circle a circle.The guy was into fornication.But still he deserves a proper burial like any other human being whilst taking account of his celebrity status.Martyrdom is not the correct portrayal of his death nonetheless.
 
Kitaalamu iyo twaweza iita Fornication na wala si Adultery kama mtoa mada anavyoiita as wahanga wote hakuna mwenye ndoa rasmi!
Ila watoto wa kitaa huwa wanaziita mechi za majaribio
 
Nimwambiapo mtu mbaya hakika utakufa lakini husemi na mtu huyo, mtu huyo atakufa katika uovu wake lakini damu yake nitaitaka mikononi. Lakini ukimwonya mtu mwovu lakini hataki kuacha uovu wake mtu huyo atakufa katika uovu wake lakini wewe utaiponya roho yako.

Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa mungu. Swali la kujiuliza hawa wote wanafurahia kusikia injili ya kristo yesu au wanaibeza. Je wote waliokwenda mahali pale wamepata nafasi ya kutubu?
 

Hivi unajua mwanamke unae muongelea ni mtoto wa miaka 17?
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Umesema marehemu alikuwa katika matendo yasiyompendeza Mungu. Kwa mujibu wa ratiba ya mazishi, kabla ya mwili wake kuhifadhiliwa, kulikuwa na ibada ya kumwombea. Kwa hiyo basi hao mapadri au wachungaji (ambao naamini ni Watanzania) walioongoza hiyo ibada ya mazishi walikuwa pia wanashabikia uzinzi/ngono/uasherati?
 
Nyangomboli

Umeongea kwa gadhabu sana lakini inaonekana kama hujui au ume-overlook lengo la hoja yenyewe. Unaweza kutuambia nidhamu ya Kanumba hadi aitwe kioo cha jamii ni ipi, kutembea na mtoto au kuigiza mambo ya ngono au kufa katika mazingira ya uzinzi? Kama si uzinzi aliokuwa anafanya unaweza kutuambia yule mtoto underage alikuwa anatafuta nini kwa Kanumba usiku wa manane. Hicho ndicho unakiita kioo cha jamii. Kama Kanumba ni kioo cha jamii basi ndio maana mleta hoja anasema tumekuwa taifa la kushabikia uzinzi na kuupaka marashi.

Kwa uelewa wangu, Kanumba amechangia taifa kuendeleza uvivu, badala ya kukaa na familia zetu hasa jioni kutafakari tujengeje taifa, kina mama wanawaza kungojea maigizo ya uongo na ngono zembe, amefanikiwa sana kuwafundisha kinamama jinsi ya kuwa cheat wanaume zao. Vile vile amechangia sana kurudisha nyuma maadili ya vijana wetu, hasa kitendo chake cha kutembea na mtoto mdogo, kimeniuma sana nikizingatia mtoto wangu wa kike amejifunza nini wakati kamuona hata rais kumbe anafurahia matendo hayo, nitaanzia wapi kumuonya, it is a pity indeed to the president and its cabinet.
 

Taifa la kushabikia vifo. huyu hata haelewi. mtoa mada hajahukumu ila kashangazwa na pop culture ya kusherehekea msiba wa aliyekufa akizini.
 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Ndugu yangu umestuka kivipi, hiyo ni kweli kabisa shetani huko kuzimu amefurahi kwa kuliokota taifa la Tanzania!!!!!!!!! Watu wanafanya vitu vilivyo kinyume kabisa na kumpendeza Mungu wetu, kushabikia kifo cha uzinzi ni laana taifa letu linapelekwa kwenye laana na wakubwa wa nchi yetu!!! Ehe Baba Mungu tusamehe utuepushe na laana hii ya uzinzi!!! Watoto wetu tunawapa somo gani sasa, inasikitisha kweli sijui tufanye je tuweze kupona ?????????

 
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni. Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.

Mkuu mbona hueleweki?. Matendo ya mtu yaachwe yahukumiwe na mungu mwenyezi, sisi kama wanadamu hatupaswi kuhukumu mtu. Kwa kuwa Kanumba amefariki kutokana na ugomvi na mpenzi wake haitukatazi sisi mashabiki wake na tuliovutiwa na kazi yake wakati wa uhai wake kuomboleza.

Inawezekana ni kweli kabisa kuwa ni mzinzi lakini katika dunia ya leo na hasa Tanzania ni only 0.001% ya actively sexual people hawajawahi kuwa na wapenzi kabla ya ndoa. Wengi wetu siku hizi huanza na mahusiano kwanza then tukaamua kufunga ndoa, ni nani ajuaye kuwa Kanumba(if he could live longer) na Lulu wangekuja funga ndoa au la?. Unapoongea tunashabikia uzinzi unatakiwa na uhakika beyond reasonable doubt kuwa wewe hujawahi kufanya mapenzi nje ya ndo a chance of 0.0001.

Tusiangalie vibanzi vilivyo machoni mwa wenzetu bila kutoa boriti zilizo machoni mwetu. Sidhani kama kumzika Kanumba ni kushabikia uzinzi huo ni upotoshaji wa hali ya juu sana.
 
.....He said Lulu who is a prime suspect was safe in the police custody, but was nursing some minor injuries sustained during a fight with Kanumba. The latter reportedly hit her with a machete (panga) resulting in injury to her private parts.

Still kuna watu wana mtetea huyu jamaa?
Hapo kulikua na mawili,mmoja kati yao kufa.
Lakini kwa upande mwingine,huyu mtoto mdogo alipata nguvu
za kujitetea toka kwa mbakaji na akapona,japo na majeraha kibao.

http://www.dailynews.co.tz/index.ph...ice-work-on-clues-to-cause-of-kanumba-s-death
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…