Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Lakini hata hivyo si unacheki matofali hapo!?? watu wako shughulini kwa hiyo kimsingi kwa upande wao naona wanataka ku upgrade kutoka miti na tope kuwa matofali tena naona ya kuchoma hayo.
Anyway lets see 2010 is so closer
Na akifaulu hatimaye atakuwa fisadi tu ili kulipiza kisasi!Mwanafunzi akifanikiwa kufaulu toka kwenye darasa hilo ni genius!
pamoja na hali hii Meneja wa TRA analipwa 18,000,000Tsh kwa mwezi akale yeye na awapandao, pia Meneja wa TBC, Meneja wa Tanroads, Wabunge, Waziri wa elimu nk .
Mtoto
Yani mkuu, at times huwezi kuelewa kuwa wote hawa wanaishi nchi moja. Na cha kuudhi zaidi ni mmoja anakula pesa ya mwenzake. Kweli Mungu awalipe mara 100.
Shapu
Huku Spika 6 akikodishiwa nyumba ya million 10 kwa mwezi.
Kazi ipo!
Hapa silaumu mafisadi.
Yaani wameshindwa kwenda kukata fito na miti kadhaa na kuja kujenga hizo kuta?
Sehemu za madirisha zingeachwa wazi ila vijana wawe ndani. Yaani hata udongo na fito nayo ni kazi? Hicho kijiji ni cha kuchapa viboko. Hiki ni kilema cha kutegemea serikali ije itufanyie kila kitu. Kijiji kizima kingelifanya hiyo kazi siku moja tu.
Inabidi kupata jina la Mbunge wa eneo hilo, mkuu wa wilya, mkoa, katibu kata, katibu tarafa, mwenyekiti wa kijiji....... Huu ni ukiwete mbaya kabisa duniani --KILEMA CHA MAWAZO.
Ningelaani kama kusingelikuwa na madawati na mabati juu. Hii shule ni BOMBA sana sana ukilinganisha na wengine tulizosomea. Masanilo, kama umetembea Sikonge nafikiri ulijionea mwenyewe shule za huku kwetu kama Iyombakuzova, Mibono, Pangale, Ipole, Tumbili, Utawambogo nk.
Hebu tuache kulaani kila kitu MAFISADI. Wananchi inabidi tubebe lawama ya asilimia 40 ya hali hii kwa ujumla. Yaani hakuna MWALIMU Juma wa kutibu magonjwa ya namna hii? Ningelimpeleka huko akatibu UTINDIA UBONGO wa Kijiji kizima. Mengine nakubali lawama ila hili mwenzenu SINUNUI.
Hiyo picha mbona haina tatizo lolote? unajua ninyi mnaoishi ng'ambo mmezoea sana kuangalia movies na maisha ya huko mlipo..hamna idea ya mambo yanayoendelea nchini kwenu.
Haina tatizo? Basi wewe umeridhika na hali iliyopo....kaazi kweli kweli
Ni kitu gani kinachoshindikana kutumia materials ya ujenzi vizuri? Mambo mengine sio watu kukaa nje au rocket science, it's just a common sense.
Kinachoshindikana au kinachokosekana ni akili. Watu wenye akili hawawezi kuishi ktk mazingira kama hayo. Kama unabisha, hebu observe hata hapo ulipo. Uki observe vizuri utagundua kuwa watu wenye akili kwa 'ujumla' huwa wana maisha mazuri zaidi kushinda wale wasio na akili.
Mkuu,
Kuwa na akili au kutokuwa nazo si tatizo, tatizo ni kuwa na akili na kushindwa kutumia akili hizo.
Haya na endeleeni kubisha kuwa Miafrika Sivyo Tulivyo! Watu wenye akili na ubunifu wangetumia akili na ubunifu wao kuboresha hayo mazingira ya kujifunzia. But guess what...wanasubiri lidude liitwalo serikali kuja na kuwaboreshea mazingira yao. Wanachosahau ni kwamba hata hilo lidude liitwalo serikali limejaa mijitu mijinga isiyo na akili kama wao. I guess unapokuwa mjinga hata kumtambua mjinga mwenzako inakuwa kaaazi kweli kweli.