Taifa letu lilianza kwa kukusanya laana badala ya baraka

Kwa hivyo unabishana na hekima za azimio la Zanzibar kutuleta ubeparini?
 
Kwa hivyo unabishana na hekima za azimio la Zanzibar kutuleta ubeparini?
Tanzania Hakuna upebari kwa 💯%, Kuna mixed economy.

Hata huko Ulaya na US Kuna vitu wanafanya, siyo vya kibepari.

Leo, Democrats wanaopambana kuweka kima Cha chini Cha mshahara kiwe $15 kwa SAA. Huu siyo ubepari .

Ubepari Ni kuacha soko LIAMUE.

Mwenye nguvu ndio MTAWALA.
 
Kwa niaba ya serikali tunakuomba utupe namba yako ya simu ama anuani na mahala unapoishi. Usihofu, tunataka tu kukuhoji baadhi ya mambo.



Kwa niaba ya Msemaji Mkuu wa Serikali.
 
Kwa niaba ya serikali tunakuomba utupe namba yako ya simu ama anuani na mahala unapoishi. Usihofu, tunataka tu kukuhoji baadhi ya mambo.



Kwa niaba ya Msemaji Mkuu wa Serikali.
Serikali haiwezi kuomba itakutafuta tu, ikiwa ata kutumia mbinu chafu ikiwa ni pamoja na kumminya makende mmiliki wa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…