Taifa letu lilianzishwa kwa misingi ya dini

Taifa letu lilianzishwa kwa misingi ya dini

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hii ni historia ya Tanganyika ambayo inasimuliwa na Sheikh Zuberi bin Yahya.

Anasema Sheikh Zuberi( pay attention) Seyyid Majjid, Sultan wa Zanzibar kuanzia Octobet 19,1856 mpaka October 7, 1870, alininua kiwanja kikubwa maeneo ya Mzizima eneo ambalp linajumuisha viwanja vya Ikulu,kanisa la St. Joseph na hospital ya Saratani.

Hiki kiwanja alikinunua kutoka kwa Mzee Tambaza.

Sasa,huyu Sultan akaendelea kuishi Zanzibar, lakini hapa"Ikulu" akajenga Chuo cha Uislamu( Chuo,mind you,siyo msikiti).

Kwa hiyo Sheikh Zuberi anasema pale Ikulu ilikuwa msikiti, hospitali ya Ocean Road pia ulikuwa msikiti,na kanisa letu la St Joseph, alas, pia ulikuwa msikiti.

Kwa hiyo kutokea pale Ikulu,Uislamu ulienea kwenda Congo, Msumbiji, Zimbabwe.

Huyu Shrilh Zuberi, he died five years ago.
 
Hii ni historia ya Tanganyika ambayo inasimuliwa na Sheikh Zuberi bin Yahya.
Anasema Sheikh Zuberi( pay attention) Seyyid Majjid,Sultan wa Zanzibar kuanzia Octobet 19,1856 mpaka October 7,1870,alininua kiwanja kikubwa maeneo ya Mzizima eneo ambalp linajumuisha viwanja vya Ikulu,kanisa la St. Joseph na hospital ya Saratani.
Hiki kiwanja alikinunua kutoka kwa Mzee Tambaza.
Sasa,huyu Sultan akaendelea kuishi Zanzibar,lakini hapa"Ikulu" akajenga Chuo cha Uislamu( Chuo,mind you,siyo msikiti).
Kwa hiyo Sheikh Zuberi anasema pale Ikulu ilikuwa msikiti,hospitali ya Ocean Road pia ulikuwa msikiti,na kanisa letu la St Joseph,alas,pia ulikuwa msikiti.
Kwa hiyo kutokea pale Ikulu,Uislamu ulienea kwenda Congo,Msumbiji,Zimbabwe.
Huyu Shrilh Zuberi,he died five years ago.
Hao Wazee hawana shughuli za kufanya,kutwa kubwabwaja.
 
Hii ni historia ya Tanganyika ambayo inasimuliwa na Sheikh Zuberi bin Yahya.
Anasema Sheikh Zuberi( pay attention) Seyyid Majjid,Sultan wa Zanzibar kuanzia Octobet 19,1856 mpaka October 7,1870,alininua kiwanja kikubwa maeneo ya Mzizima eneo ambalp linajumuisha viwanja vya Ikulu,kanisa la St. Joseph na hospital ya Saratani.
Hiki kiwanja alikinunua kutoka kwa Mzee Tambaza.
Sasa,huyu Sultan akaendelea kuishi Zanzibar,lakini hapa"Ikulu" akajenga Chuo cha Uislamu( Chuo,mind you,siyo msikiti).
Kwa hiyo Sheikh Zuberi anasema pale Ikulu ilikuwa msikiti,hospitali ya Ocean Road pia ulikuwa msikiti,na kanisa letu la St Joseph,alas,pia ulikuwa msikiti.
Kwa hiyo kutokea pale Ikulu,Uislamu ulienea kwenda Congo,Msumbiji,Zimbabwe.
Huyu Shrilh Zuberi,he died five years ago.
Kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe. Haya ndiyo matatizo ya kushinda madrasa.
 
Atakaye elewa andiko na kichwa cha habari naomba aanze upya kujadili.
 
Na yale maeneo ambayo hayakuwa na msikiti hata mmoja yaliingiaje kwenye hilo taifa?
 
Mar
Hii ni historia ya Tanganyika ambayo inasimuliwa na Sheikh Zuberi bin Yahya.

Anasema Sheikh Zuberi( pay attention) Seyyid Majjid, Sultan wa Zanzibar kuanzia Octobet 19,1856 mpaka October 7, 1870, alininua kiwanja kikubwa maeneo ya Mzizima eneo ambalp linajumuisha viwanja vya Ikulu,kanisa la St. Joseph na hospital ya Saratani.

Hiki kiwanja alikinunua kutoka kwa Mzee Tambaza.

Sasa,huyu Sultan akaendelea kuishi Zanzibar, lakini hapa"Ikulu" akajenga Chuo cha Uislamu( Chuo,mind you,siyo msikiti).

Kwa hiyo Sheikh Zuberi anasema pale Ikulu ilikuwa msikiti, hospitali ya Ocean Road pia ulikuwa msikiti,na kanisa letu la St Joseph, alas, pia ulikuwa msikiti.

Kwa hiyo kutokea pale Ikulu,Uislamu ulienea kwenda Congo, Msumbiji, Zimbabwe.

Huyu Shrilh Zuberi, he died five years
Hii ni historia ya Tanganyika ambayo inasimuliwa na Sheikh Zuberi bin Yahya.

Anasema Sheikh Zuberi( pay attention) Seyyid Majjid, Sultan wa Zanzibar kuanzia Octobet 19,1856 mpaka October 7, 1870, alininua kiwanja kikubwa maeneo ya Mzizima eneo ambalp linajumuisha viwanja vya Ikulu,kanisa la St. Joseph na hospital ya Saratani.

Hiki kiwanja alikinunua kutoka kwa Mzee Tambaza.

Sasa,huyu Sultan akaendelea kuishi Zanzibar, lakini hapa"Ikulu" akajenga Chuo cha Uislamu( Chuo,mind you,siyo msikiti).

Kwa hiyo Sheikh Zuberi anasema pale Ikulu ilikuwa msikiti, hospitali ya Ocean Road pia ulikuwa msikiti,na kanisa letu la St Joseph, alas, pia ulikuwa msikiti.

Kwa hiyo kutokea pale Ikulu,Uislamu ulienea kwenda Congo, Msumbiji, Zimbabwe.

Huyu Shrilh Zuberi, he died five years ago.
Mara alianzi chuo na unasisitiza ni chuo sio msikiti tena mbele unasema ni msikiti!
 
Hao Wazee hawana shughuli za kufanya,kutwa kubwabwaja.

Najiuliza sijui wanachotafuta nini? Mbona maisha yanaenda kwa kasi wao wamenganda na mambo ya TIP TIB na Ibn Batuta?
 
Back
Top Bottom