Taifa lililojaa wezi wa kila awamu, ni wafanyabiashara waliochoshwa wenye ujasiri wa kusema hapana yenye kishindo

Taifa lililojaa wezi wa kila awamu, ni wafanyabiashara waliochoshwa wenye ujasiri wa kusema hapana yenye kishindo

Hapa nakuunga mkono, na matatizo haya tumekuwa tukiyapigia kelele muda mrefu. Unapokuwa na utawala unaopatikana kwa njia zisizo halali ni rahisi mienendo ya aina hii kushika kasi na kuonekana ya kawaida kwenye taasisi nyingine.

Imefikia mahali hadi taasisi hizi za kimamlaka zinatumika kukomoa watu wengine. Matokeo yake watumishi wa taasisi hizo hutumia ombwe hilo la kiuongozi na wao kujipatia mapato yasiyo halali. Hebu fikiria ripoti za CAG zinatoka kila mwaka, wizi ni uleule na hakuna hatua zozote zinachukuliwa, maana wanaosimamia sheria ndio sehemu ya huo uchafu. Fikiria kiongozi aliyeko madarakani kwa kupora uchaguzi, anapata wapi nguvu ya kumwajibisha afisa wa taasisi ya kimamlaka aliyemtumia kupata ushindi haramu?
Point !
 
Magufuli anaingiaje hapo wew
alikuwa mwizi tu na yeye! Tena alikuwa jambazi na israel mtoa roho! Ukisikia "kikosi kazi cha tra" kilianzia awamu yake na ushahidi wa unyama na ujambaz wake tuna refference za kina sabaya ! Ukweli ni kuwa the man was smuggler
 
Wanatangaza kwa mbwembwe kwamba wamevuka lengo la ukusanyaji wa mapato, sijui haijawai kutokea, maneno mengi, kumbe kubambikia watu kodi na kukusanya kwa mabavu.

Ikiundwa tume huru inawezekana kipato walio nacho Wafanyakazi wa TRA kikubwa kuliko kinapelekwa serikalini au robo yake kinamilikiwa na wafanyakazi wa TRA.
 
alikuwa mwizi tu na yeye! Tena alikuwa jambazi na israel mtoa roho! Ukisikia "kikosi kazi cha tra" kilianzia awamu yake na ushahidi wa unyama na ujambaz wake tuna refference za kina sabaya ! Ukweli ni kuwa the man was smuggler
Zirudishwe kama aliiba au kazikwa nazo?

Kikosi kazi cha kubambikia yule mama 30 billion ni cha JPM?
 
Awamu ya sita imefanya kikao cha wazi na wafanyabiashara pale Mnazi Mmoja na kamera za runinga zimeweka ushahidi wote hadharani. Hiki ni tofauti kidogo na kile kikao cha hayati JPM alichofanya na wadau wa sekta ya madini pale ikulu mwaka 2017.

Kimeweza kufanyika kwa kutegemea nguvu kubwa ya wafanyabiashara waliochoshwa na uonevu wa mfumo mzima wa kodi kuwa na kila harufu chafu ya rushwa.

Hakikufanyika kwa matakwa au maamuzi ya kiserikali bali ni matokeo ya mgomo wa wafanyabiashara walioona liwalo na liwe hawawezi kuendelea kujaza mifuko ya wafanyakazi wa TRA tena wengi wao wakiwa ni vijana wadogo wenye kunuka bado ile harufu ya magodoro ya vyuo vya fedha walivyotoka kumaliza kusoma.

Hili ni taifa la wezi japo kistaarabu hatupendi kutumia maneno hayo makali, lakini kilicholalamikiwa pale Mnazi Mmoja leo hii hakina tofauti na kile kilichokuwa kikifanyika kule TPA enzi za awamu ya nne. Ni mitandao fulani ya wizi haswa ya wasomi vijana wanaokua na kuingia maofisini wakichukulia kwamba ni haki na wao kuiba kwani waliowatangulia pia ni wezi tu!.

Kila awamu inakuwa na uchafu kama huu ulioundiwa kamati ya watu 14, ni hulka mbovu za kitaifa zinazoanzia juu kabisa. Huwa linaishia kupatikana suluhisho la muda mfupi tu na baada ya mwaka mmoja au miwili tatizo linarudi na ukubwa ule ule na wanaoumia ni mamilioni ya wateja wa hizo bidhaa za kutoka nje.

Wa kupewa pongezi za dhati ni wale wote walioanzisha mgomo, kwani hakuna mamlaka ambayo ingeweza kufunguka macho na kubaini uchafu unaoendelea hapo TRA iwapo uoga ungeachwa ukatamalaki.

Sisi ni watu wa hovyo sana, na kwa kweli napata shida kuwabebesha lawama wazee wetu kwa maana ya kina Nyerere na wote wa kizazi kilichokabidhiwa nchi na Muingereza mwaka sitini na moja. Hizi ni hulka za kishenzi tunazokutana nazo tukiwa watu wazima tayari.

Nasita kumuweka pembeni Rais fulani na mwingine nikaamua kumpigia makofi, wanakuwa ni wanasiasa wanaochafuliwa na hulka mbovu za walio chini yao kimamlaka.
Hahahah
Mtahaha ssna sana

Kodi hiyo wanaoilalamikia na mateso ni ya awamu hii ya sita.

Shetani asikutumie kuhadaa umma
 
Hahahah
Mtahaha ssna sana

Kodi hiyo wanaoilalamikia na mateso ni ya awamu hii ya sita.

Shetani asikutumie kuhadaa umma
Wizi upo miaka karibu yote ya awamu za CCM. Jitahidi uyajue haya masuala kwa kina.
 
Magufuli alikuwa mkali sana kwa sababu ya huu upumbavu tulioamua kuulea kuanzia katikati ya awamu ya pili mpaka ya ile ya tatu.

Mwendo wetu ulikuwa mzuri tu lakini ghafla tukaanza kukumbatia hulka za kinyama zisizo na huruma wala utu ndani yake, Magufuli katika mapambano ya kijasiri akaanza kuchukiwa na kundi la wapigaji wanaozoea kula kwa kutegemea machungu ya wengine, ni nchi ya kuiombea kwa Mungu kadri mtu unavyopata muda binafsi wa kufanya hivyo.
Kabisa !
 
Zirudishwe kama aliiba au kazikwa nazo?

Kikosi kazi cha kubambikia yule mama 30 billion ni cha JPM?
Usiwe mpumbavu! Kikosi kazi kiliundwa enzi za huyo mzalendo na kina majaliwa ndo walikizindua! Kazi ya kikosi kaz ndo hyo ya kupora pesa kwenye acc za watu kubambikia watu kodi na kesi za uhujumu uchumi! Huyo mama ni muendelezo lkn pia hutukuwahi kusikia kikosi kilivunjwa! Pia awamu ilioanza huo utamadun wa kupora ni hii hii ilioanza 2015 na itamaliza muda kikatiba 2025! Tunapaswa tupige kelele wote kupinga hawa majambaz wavaa suti! Sio kujustfy au kutenganisha wengine! Au mwenzetu hujui kuwa fedha za plea bagain na hizi zinakusanywa sasa zipo china? Na wakusanyaji ni wale wale
 
Ngoja waumini na sisi tuwekke
Awamu ya sita imefanya kikao cha wazi na wafanyabiashara pale Mnazi Mmoja na kamera za runinga zimeweka ushahidi wote hadharani. Hiki ni tofauti kidogo na kile kikao cha hayati JPM alichofanya na wadau wa sekta ya madini pale ikulu mwaka 2017.

Kimeweza kufanyika kwa kutegemea nguvu kubwa ya wafanyabiashara waliochoshwa na uonevu wa mfumo mzima wa kodi kuwa na kila harufu chafu ya rushwa.

Hakikufanyika kwa matakwa au maamuzi ya kiserikali bali ni matokeo ya mgomo wa wafanyabiashara walioona liwalo na liwe hawawezi kuendelea kujaza mifuko ya wafanyakazi wa TRA tena wengi wao wakiwa ni vijana wadogo wenye kunuka bado ile harufu ya magodoro ya vyuo vya fedha walivyotoka kumaliza kusoma.

Hili ni taifa la wezi japo kistaarabu hatupendi kutumia maneno hayo makali, lakini kilicholalamikiwa pale Mnazi Mmoja leo hii hakina tofauti na kile kilichokuwa kikifanyika kule TPA enzi za awamu ya nne. Ni mitandao fulani ya wizi haswa ya wasomi vijana wanaokua na kuingia maofisini wakichukulia kwamba ni haki na wao kuiba kwani waliowatangulia pia ni wezi tu!.

Kila awamu inakuwa na uchafu kama huu ulioundiwa kamati ya watu 14, ni hulka mbovu za kitaifa zinazoanzia juu kabisa. Huwa linaishia kupatikana suluhisho la muda mfupi tu na baada ya mwaka mmoja au miwili tatizo linarudi na ukubwa ule ule na wanaoumia ni mamilioni ya wateja wa hizo bidhaa za kutoka nje.

Wa kupewa pongezi za dhati ni wale wote walioanzisha mgomo, kwani hakuna mamlaka ambayo ingeweza kufunguka macho na kubaini uchafu unaoendelea hapo TRA iwapo uoga ungeachwa ukatamalaki.

Sisi ni watu wa hovyo sana, na kwa kweli napata shida kuwabebesha lawama wazee wetu kwa maana ya kina Nyerere na wote wa kizazi kilichokabidhiwa nchi na Muingereza mwaka sitini na moja. Hizi ni hulka za kishenzi tunazokutana nazo tukiwa watu wazima tayari.

Nasita kumuweka pembeni Rais fulani na mwingine nikaamua kumpigia makofi, wanakuwa ni wanasiasa wanaochafuliwa na hulka mbovu za walio chini yao kimamlaka.
Ngoja na sisi waumini tuweke mgomo wa kupigwa sadaka, huku tukiaidiwa maisha yetu yatabadilika kwa kupitia maombi, wakati wao wanayabadili kwa hela cash
 
Usiwe mpumbavu! Kikosi kazi kiliundwa enzi za huyo mzalendo na kina majaliwa ndo walikizindua! Kazi ya kikosi kaz ndo hyo ya kupora pesa kwenye acc za watu kubambikia watu kodi na kesi za uhujumu uchumi! Huyo mama ni muendelezo lkn pia hutukuwahi kusikia kikosi kilivunjwa! Pia awamu ilioanza huo utamadun wa kupora ni hii hii ilioanza 2015 na itamaliza muda kikatiba 2025! Tunapaswa tupige kelele wote kupinga hawa majambaz wavaa suti! Sio kujustfy au kutenganisha wengine! Au mwenzetu hujui kuwa fedha za plea bagain na hizi zinakusanywa sasa zipo china? Na wakusanyaji ni wale wale
Kila tunapofurahia ufunguaji wa daraja jipya, barabara au mradi mwingine mkubwa hizo pesa zinazofanikisha suala hilo na kupigiwa makofi mara nyingi ni jasho la wafanyabiashara fulani walioonewa kwa makusudi kabisa na mfumo dhalimu wa ukusanyaji wa kodi.

Hulka ya uonevu haiwezi kudumu hata siku moja, kinachomuumiza mtu nafsi na akawa anaishi kwa machungu ya moyoni huwa hakina muendelezo wa miaka mingi mbeleni.
 
Usiwe mpumbavu! Kikosi kazi kiliundwa enzi za huyo mzalendo na kina majaliwa ndo walikizindua! Kazi ya kikosi kaz ndo hyo ya kupora pesa kwenye acc za watu kubambikia watu kodi na kesi za uhujumu uchumi! Huyo mama ni muendelezo lkn pia hutukuwahi kusikia kikosi kilivunjwa! Pia awamu ilioanza huo utamadun wa kupora ni hii hii ilioanza 2015 na itamaliza muda kikatiba 2025! Tunapaswa tupige kelele wote kupinga hawa majambaz wavaa suti! Sio kujustfy au kutenganisha wengine! Au mwenzetu hujui kuwa fedha za plea bagain na hizi zinakusanywa sasa zipo china? Na wakusanyaji ni wale wale
Serikali inashindwa vipi kuzirudisha hizo pesa zilizowekwa China ??! Au na waliopo sasa nao ni zao hizo pesa ??!!! Au ni porojo tu zinaendelea za pesa eti zimewekwa China !!
 
Serikali inashindwa vipi kuzirudisha hizo pesa zilizowekwa China ??! Au na waliopo sasa nao ni zao hizo pesa ??!!! Au ni porojo tu zinaendelea za pesa eti zimewekwa China !!
Yaan utoe hela mfuko wa nyuma uzihamishie mfuko wa mbele? Watu tuliowapa dhamana(serikali) ndo wameenda kuzificha huko halafu hao hao ndo unawaambia wazirudishe! Kweli? Hivi shulen ulienda kufuata nin! Kuchungulia chupi za wasichana wakicheza rede?
 
Yaan utoe hela mfuko wa nyuma uzihamishie mfuko wa mbele? Watu tuliowapa dhamana(serikali) ndo wameenda kuzificha huko halafu hao hao ndo unawaambia wazirudishe! Kweli? Hivi shulen ulienda kufuata nin! Kuchungulia chupi za wasichana wakicheza rede?
Kumbe mpaka waliopo hivi sasa nao wanahusika ?! Nilikuwa sijafahamu !! Sasa mbona na wao wanalalamika ? Mimi nilidhani ni mwendazake tu ndio anayehusika !
 
Awamu ya sita imefanya kikao cha wazi na wafanyabiashara pale Mnazi Mmoja na kamera za runinga zimeweka ushahidi wote hadharani. Hiki ni tofauti kidogo na kile kikao cha hayati JPM alichofanya na wadau wa sekta ya madini pale ikulu mwaka 2017.

Kimeweza kufanyika kwa kutegemea nguvu kubwa ya wafanyabiashara waliochoshwa na uonevu wa mfumo mzima wa kodi kuwa na kila harufu chafu ya rushwa.

Hakikufanyika kwa matakwa au maamuzi ya kiserikali bali ni matokeo ya mgomo wa wafanyabiashara walioona liwalo na liwe hawawezi kuendelea kujaza mifuko ya wafanyakazi wa TRA tena wengi wao wakiwa ni vijana wadogo wenye kunuka bado ile harufu ya magodoro ya vyuo vya fedha walivyotoka kumaliza kusoma.

Hili ni taifa la wezi japo kistaarabu hatupendi kutumia maneno hayo makali, lakini kilicholalamikiwa pale Mnazi Mmoja leo hii hakina tofauti na kile kilichokuwa kikifanyika kule TPA enzi za awamu ya nne. Ni mitandao fulani ya wizi haswa ya wasomi vijana wanaokua na kuingia maofisini wakichukulia kwamba ni haki na wao kuiba kwani waliowatangulia pia ni wezi tu!.

Kila awamu inakuwa na uchafu kama huu ulioundiwa kamati ya watu 14, ni hulka mbovu za kitaifa zinazoanzia juu kabisa. Huwa linaishia kupatikana suluhisho la muda mfupi tu na baada ya mwaka mmoja au miwili tatizo linarudi na ukubwa ule ule na wanaoumia ni mamilioni ya wateja wa hizo bidhaa za kutoka nje.

Wa kupewa pongezi za dhati ni wale wote walioanzisha mgomo, kwani hakuna mamlaka ambayo ingeweza kufunguka macho na kubaini uchafu unaoendelea hapo TRA iwapo uoga ungeachwa ukatamalaki.

Sisi ni watu wa hovyo sana, na kwa kweli napata shida kuwabebesha lawama wazee wetu kwa maana ya kina Nyerere na wote wa kizazi kilichokabidhiwa nchi na Muingereza mwaka sitini na moja. Hizi ni hulka za kishenzi tunazokutana nazo tukiwa watu wazima tayari.

Nasita kumuweka pembeni Rais fulani na mwingine nikaamua kumpigia makofi, wanakuwa ni wanasiasa wanaochafuliwa na hulka mbovu za walio chini yao kimamlaka.
Bado unahisi yanayofanyika serikali haijui? Tatizo lako ni sawa na hao wafanyabiashara, wote mnahisi serikali haijui?

Mama Samia alishafanya vikao vingi tu na wafanyabiashara, na yote hayo walishaeleza.
 
Bado unahisi yanayofanyika serikali haijui? Tatizo lako ni sawa na hao wafanyabiashara, wote mnahisi serikali haijui?

Mama Samia alishafanya vikao vingi tu na wafanyabiashara, na yote hayo walishaeleza.
Wote ni wezi watupu, wa serikalini wanaopokea huduma ya kodi na hao wafanya biashara wanaolipa kodi.

Naongelea mfumo wa kimafia unaojulikana kuwa rasmi wenye wajumbe wenye kushona sare za chama na kuhudhuria mikutano mikuu kila baada ya miaka mitano.
 
Imekuwa nadra sana kuona mtazamo kama wako hapa Jamvini.

Nasisitiza....
Magufuli alikuwa mkali sana kwa sababu ya huu upumbavu tulioamua kuulea kuanzia katikati ya awamu ya pili mpaka ya ile ya tatu.

Mwendo wetu ulikuwa mzuri tu lakini ghafla tukaanza kukumbatia hulka za kinyama zisizo na huruma wala utu ndani yake, Magufuli katika mapambano ya kijasiri akaanza kuchukiwa na kundi la wapigaji wanaozoea kula kwa kutegemea machungu ya wengine, ni nchi ya kuiombea kwa Mungu kadri mtu unavyopata muda binafsi wa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom