Taifa limechelewa sana kumtumia Upendo Peneza, anafaa kuwa Mkurugenzi, Mkuu wa Wilaya, au mtaalamu mkubwa sana serikalini au balozi

Taifa limechelewa sana kumtumia Upendo Peneza, anafaa kuwa Mkurugenzi, Mkuu wa Wilaya, au mtaalamu mkubwa sana serikalini au balozi

Nimemfuatilia sana Upendo Peneza. Ni kiongozi anayetumia akili sana, na amekuwa tofauti na Chadema wengi wanaokurupuka.

Ni msomi wa haja, madigirii yamejaa kichwani, ana hekima kubwa sana.

Natamani mama ampe majukumu makubwa sana serikalini. Pamoja na hayo, kama anapenda siasa, apewe nafasi afanye siasa.

Ila ninamuona kama anapenda kazi za kitaalamu, sio mpenda makelele.

Taifa limechelewa kupata utumishi wake, ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
Kuna watumishi(Wataalamu) wengi wazuri wako serikalini miaka mingi hadi kufikia level za Senior or Principle hawajatumika ipasavyo, yeye ni nani kuwa wa tofauti na special kushinda wazoefu waliyotumikia serikali miaka nenda rudi na wana ma degree kadhaa kichwani!?

Ni muhimu kuwa na succession plan, sio kutoa vyeo kwa mihemko! hii ina demoralize watumishi wengi sana wanao tumikia serikali kwenye hard times na mazingira magumu ya utendaji.
 
Kuna watumishi(Wataalamu) wengi wazuri wako serikalini miaka mingi hadi kufikia level za Senior or Principle hawajatumika ipasavyo, yeye ni nani kuwa wa tofauti na special kushinda wazoefu waliyotumikia serikali miaka nenda rudi na wana ma degree kadhaa kichwani!?

Ni muhimu kuwa na succession plan, sio kutoa vyeo kwa mihemko! hii ina demoralize watumishi wengi sana wanao tumikia serikali kwenye hard times na mazingira magumu ya utendaji.
Hao wamekaa sana maofisini wanahitaji changamoto. Wengi wao wanajua ratiba za chai, kuandika madokezo sabili ya kuombea posho, na kurogana ili kugombea madaraka
 
Chadema madomo zege wengi wameacha binti yupo singo mpaka sasa.
 
Mimi nadhani CCM ifikie hatua mgeni anayehamia ccm apokelewe vizuri sana na alelewe vizuri sana na chama kimpe muda kwanza , siyo kupewa vyeo kisa ametoka upinzani, ccm ina wasomi wengi, vijana smart sana na ambao wanajitoa sana kwa ajili ya chama na wanakipenda chama, sidhani kama ccm wanaweza kufanya hivi, wakifanya hivyo watasababisha vijana wenye weledi waingie kwanza upinzani kutafuta majina na umaarufu wa kisiasa kisha wanaingia ccm kwa maslahi zaidi.
Kwamba hujaona orodha yao kuwa wanadaiwa na DCB? Ingawa kudaiwa sio dhambi ila inapunguza credibility, wanaotukana na kubagaza opposition mtandaoni na majukwaani wala hutawaona kwenye teuzi like Mwashambwa anayeimba ngonjera tu ambazo ni za kutunga kupamba uzuri wa jambo lisilokuwepo ili kuvutia hadhira. Kwenye fasihi tunaita sana- kimombo wanaita romanticism au exaggeration . Yani unaeleza jambo dogo kwa ukubwa kuliko uhalisia wenyewe ukidhani utaungwa mkono! Madhalani anasema mama ametufikia wote utadhani ni mama yake mzazi na ni omnipresent (sidhani kama ataelewa maana yake) badala ya kusema Rais wa Tanzania ameisimamia vyema serikali ya jamhuri katika kitoa huduma kwa wananchi! Kuna shida mahali!
 
Ulichokiandika umedhihirisha kwamba hizi ndizo akili za mwafrika Tena yule mwafrika duni wa kufikiri. Unamuamini vipi huyo dada? Je kama kapandikizwa ku scrutinize? Ndiyo maana mnawapa ajira na teuzi wakimbizi.
Mtu anaeleza wasifu wa kawaida wa mtu then anasema amemfuatilia! Ujinga ni mwingi sana! Kunfuatilia mtu ilifaa aandike au aeleze historia yake katika nyanja zote za maisha ili kupata potentiali8 zake, sio kueleza kasivii kafupi tena baada ya yeye kuhama chama (event based sayings) kwanini hakusema kabla hajahama chama kwamba anamfuatilia amemfuatilia! Nowonder huyu jamaa anaweza kuwa vetting officer wanaowapendekeza refugees kuwa appointed kwenye decision making organs za nchi as per sidiefu: mkuu wajinga ni wengi usishangae
 
Ni mtanzania halali sio mkimbizi? Inabidi tuanzie hapa
 
Ulichokiandika umedhihirisha kwamba hizi ndizo akili za mwafrika Tena yule mwafrika duni wa kufikiri. Unamuamini vipi huyo dada? Je kama kapandikizwa ku scrutinize? Ndiyo maana mnawapa ajira na teuzi wakimbizi.
Kweli kabisa anampigia chapuo mnyarwanda apewe teuzi. Kuna mijitu haina akili kabisa
 
Electronic wanaweza kuhack wao ndio waratibu ...Zile Biometric attendance system kweny maofisi watu wanahack na kuweka fake sign tena wanaharibu kabisa ,nchi ina watu wajanja wanawaza shortcut.
Pamoja na kuhack lakini 95% itakuwa ni ukweli, now uchaguzi 80% ni fake
 
Kweli kabisa anampigia chapuo mnyarwanda apewe teuzi. Kuna mijitu haina akili kabisa
Amekuwa mbunge kupitia chadema kwa muda mrefu, amekuwa kiongozi mkubwa chadema, na chadema wanajisifu kwa kujua kuchuja watu, sisi hatuna wasiwasi naye
 
Back
Top Bottom